Recent content by MchagaWaUlaya

  1. MchagaWaUlaya

    Ukumbi wa Mikutano na Matamasha Dsm Tanzania The Super dome

    Ukumbi mpya wa KIMATAIFA Upo Masaki Dar wa mikutano na matamasha unaitwa The super dome una kila kitu ndani yake Fixed sound system LED Screen Stage Fixed Lights Fixed Camera Tables and chairs VIP rooms
  2. MchagaWaUlaya

    Hili ni jaribio la 3 la Clouds FM kumshusha Diamond, naamini utashinda tu

    Hata ukipewa kazi ya kuchafua na ujue ukiambiwa safisha uasafiahaje njaa itakuua maana unaandika vitu hata details huna mdogo wangu 1.Hujui tofauti kati ya Hit song na popular song hujui nani hit maker nani song writer na sikuambii sitaki nikupe faida kaa na ujinga wako 2.Waliompandisha diamond...
  3. MchagaWaUlaya

    Je, wajua mara ya mwisho Simba kuchukua ubingwa?

    Mara ya mwisho Simba kuchukua ubingwa walipoifunga Yanga goli 5
  4. MchagaWaUlaya

    Huyu ndiye Ruge ninayemfahamu!

    Uponjo aliacha shule baada ya kufeli kidato cha pili unategemea atatoa maoni gani [emoji23][emoji23]
  5. MchagaWaUlaya

    Huyu ndiye Ruge ninayemfahamu!

    Hata wewe tukikuuliza vyeti huchelewi kutuambia vita ya madawa ya kulevya haitaacha mtu hahah Chawa wa bashite mpo wengi eeh au wewe mdogo wake Lemutuz
  6. MchagaWaUlaya

    Huyu ndiye Ruge ninayemfahamu!

    Nilijua tuu bashite hawezi kukosa matawi yake humu toa vyeti kwanza vyako na vya boss wako bashite
  7. MchagaWaUlaya

    Media kususia habari za fulani: Je, Tanzania tuna Independent Media yenye jeuri hiyo?

    Rudi kamwambie huyo aliyekutuma kuwa bado watu wanamsimamo wao ule ule Vyeti kwanza
  8. MchagaWaUlaya

    Jinsi Ya Kutongoza Wanawake Waliokuzidi Umri ( Majimama )

    Kwanza Utakuwa unaishi Sinza Pili Unaishi kwa dada yako Tatu Huna hela Nne Uko shule au umeishia Form 4 Tano Huna vyeti pumbaav Sita Una tamaa Nakushauri acha tamaa
  9. MchagaWaUlaya

    Wanawake mjitathmini malkia wa nguvu kuwekwa siku ya wajinga duniani

    Hahahaha Ila acha ubinafsi na lazima utakuwa bado unaishi kwa mama yako ndiyo maana umewaza hivyo kuona mama yako hajaitwa malkia wa nguvu hahahah POLE SANA
  10. MchagaWaUlaya

    Ushauri kwa Diamond: Unatia aibu, achana na Makonda anakuharibia sana

    Nani amekwambia CHADEMA wote tunampinga Bashite hii ni VITA ya dawa za kulevya tunapigania maslahi ya vijana wetu mimi ni miongoni mwa wanaM4C tunamuunga mkono BASHITE achaneni na upuuzi wa vyeti Tunapiga vita Dawa za kulevya kwanza
  11. MchagaWaUlaya

    Rais Magufuli apiga tena simu Clouds, amsifu Diamond na kusema atashughulikia kero za wasanii

    Dada yangu agiza supu yako tia ndimu yako unywe maana unasubiri embe chini ya mpapai
  12. MchagaWaUlaya

    Hassan Ngoma @ Clouds 360 : Rais yupo kwenye Kwaresma asichokozwe

    Nimegundua asilimia 95 ya waliyomo humu ni mashabiki wa kutupwa wa CLOUDS radio na tv hahahahah nilifikiri mnaumia na clouds kumbe ndiyo njia yenu ya Kuisapoti Hongereni sana wazee wa Clouds lakini ndiyo radio pekee nchini ukubali ukatae
  13. MchagaWaUlaya

    Hongera sana Pascal Mayalla, Ndio Mwandishi Pekee Uliyemuuliza Swali Rais Magufuli

    Kuna maswali ukiuliza tuu utajulikana kama umetumwa alafu yanashusha cv yako muda mwingine bora unyamaze ili watu wajue huna swali kauliza upuuzi tuu
Back
Top Bottom