Recent content by Mchafukoga

  1. M

    Nassari agawa madawati ya shule Meru, Madiwani wa CCM wayakataa

    Sasa huo ni umbulula kabisa, mtu kajitoa halafu mijitu mingine isiyoelimika inakataa msaada huo. Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
  2. M

    Hatimaye mapenzi yameniumiza kwa mara nyingine tena!!

    Hawa wanawake wanaumiza vichwa tu. Rudi mbeya kijana Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
  3. M

    Nifanyeje?

    Ninatarajia nitapata washauri wema na werevu wasio na chembe ya mizaha na masihara. Kama mtu hauna cha kushauri pita tu Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
  4. M

    Nifanyeje?

    Habari za leo waungwa. Siku za nyuma niliomba ushauri hapa kuhusu uhusiano na mpenzi wangu, mawazo yenu nimeyafanyia kazi ila kinachonishangaza bado ninapatwa na maumivu ya kichwa ninapofikiri kumtema moja kwa moja. Nifanyeje? Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
  5. M

    Maumivu ya kichwa tatizo ni nini?

    Bado nasubiri ufumbuz kutoka kwenu waungwana
  6. M

    Maumivu ya kichwa tatizo ni nini?

    Kwa sasa sifanyi kazi yoyote nipo kwenye mapumziko @ Hopecomfort
  7. M

    Maumivu ya kichwa tatizo ni nini?

    Kila siku nakunywa maji lita 4 Majigo
  8. M

    Maumivu ya kichwa tatizo ni nini?

    Habarini waungwana, Mimi kila siku ikifikia saa kumi jioni kichwa kinaniuma sana nimemeza paracetamol hadi sasa nimechoka. Naomba niambiwe tatizo hili linasababishwa na nini?
  9. M

    Mchumba anakuambia anakupenda sana ndio maana.....

    Umenena vema b'se me nimeshaambiwa or jamaa wa TRA yule nimemkatalia kupeleka barua nataka ww upeleke ili unioe. Hawa wanawake ni hatari
  10. M

    Heee! Mtwara bado wana machungu?

    Nijambo laa maana sana, tena iwe kwa kila mwaka tarehe na mwezi kama wa leo. Nawashauri na wamasasi pia wafanye hivyo. Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
  11. M

    Una penda mpenzi wako aku save kwa jina gani kwenye simu yake?

    Jina langu linaatosha sana Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
  12. M

    nimekuja kuangalia chumba chako

    Jamaa alitakiwa apige story na kumchezea. Sio kuomba kama pipi dukani. Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
  13. M

    Ameshajua nampenda, basi ndio ananikomoa

    Pole sana mkuu ila suala lako linafanan na mimi ingawa me ni miez miwili tu, mwanamke ananiambia anatakA kupunguza kasi ya mawasiliano kwani atazoea vibaya. Ninajiuliza maswali mengi kuwa amepata mwingine au? Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
  14. M

    Fahamu SIFA za mwanamke wa kuoa

    Itakuwa bahati kweli kumpata mchumba mwenye sifa zote hizo. Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Back
Top Bottom