Pote sio
Na wewe nae maneno tu umeogopa umemwacha umesahau kwamba kwenye mapenzi majigambo muhimu kujionyesha kwamba na yeye ana thamani ila wewe ni juu ya hao wote walioonyesha nia, hata hivyo case yako tofauti na hii, huyo yeye akisema flani alimtaka anakwenda mbele zaidi na kusema akatoka nae usiku wakaenda hotelini tofauti na huyo wako alikuwa anasema maneno matupuMie yashanikuta hzo habari za kua flani ananitaka mara ooh watu wenye pesa wananitaka..aliponambia hvyo nikamuacha papo hapo..ili akaolewe na hao wenye pesa na magari......
Mpaka JFUUUUUUPSiiiiiii
hawa panya road wanatusumbua
Mpaka JF
UUUUUUPSiiiiiii
hawa panya road wanatusumbua