Ningeshaangaa mkuu Uzi wa nasari uuache upite bila kutia nenoMkuu kitu kizito unachosema ni upotoshaji mkubwa majoha ni mtu makini sana hawezi kubabaishwa na mtu kama nasari.taja hizo shule unazosema kagawa hayo madawati kama sio uongo ili nimuulize afisa elimu na majora
wameru wamemchoka nasari ameua uchumi wa meru kwa maandamano ya kupora mashambambona kama ni kuwamaliza kisiasa wamesha jimaliza wenyewe??? Watoto wamekaa chini 50yrs wanaona wanajijenga kisiasa?? Maskini maccm.
wameru wamemchoka nasari ameua uchumi wa meru kwa maandamano ya kupora mashamba
Sisi wananchi wa Kata ya LEGURUKI tarafa ya KING'ORI vijiji vya SHISHTON, MARUANGO, NKOASENGA, MIRIRINY, MBAASENY , KANDASHE NA LEGURUKI tunajua kuwa huyu MH.MAJOLA anatapatapa kufuatia uchaguzi wa 2015.
Amekuwa mwenyekiti wa halmashauri asiyekuwa na maendeleo katika Historia ta Meru.
ogopeni Nassari anapambana katika vikao vya RCC barabara ya kutoka KIBAONI-KING'ORI-NGARENANYUKI hadi NAMANGA ili iingie TANROAD Majola anampinga ili isisemekane Mbunge amefanikisha baadhi ya mambo.
Wanameru wote na wana LEGURUKI tushirikiane pamoja NYOKA YUMO NDANI YA NYUMBA ZETU. NJOONI TUMTOE.
Kwa malalamiko ya aina hii itachukua muda mrefu sana serikari kupewa msukumo wa kubadilisha mwelekeo, yaani mtu anaona mwonekano wa nyongeza ya madawati kutoka kwa mwanasiasa msamaria mwema ni tishio kwake in the future. Hivi hayo madawati yangetolewa na mmbunge wa CCM angeyakataa pia?akilaumu kuwa lengo la Nassari kutoa msaada huo ni kutaka kummaliza kisiasa aonekane hajafanya kitu.
ningeshaangaa mkuu uzi wa nasari uuache upite bila kutia neno
kwa kweli inasikitisha watoto wakae chini kwa upuuzi wa mtu mmoja. kama anaona anamalizwa kisiasa alikuwa wapi asifanye mchakato wa hayo madawati. kwanza aelezee huo hizo pesa za mfuko wa maendeleo amezitumia viti. mijitu mingine kama mashetani vile