Recent content by McFerson

  1. McFerson

    Tetesi: Trump anataka kufukuza wafanyakazi wote wa CIA ili aajiri upya!

    Hata kwa password atanyakuliwa na password mkononi[emoji3]
  2. McFerson

    Umejiuliza ingekuwaje kama vidole vingekuwa na urefu mmoja

    Acha mambo ya kujichukulia sheria kwenye vidole,leta nikusaidie
  3. McFerson

    Niulize chochote kuhusu afya ya kinywa na meno, nitakujibu

    Hizo ni story za mtaani,kila ugingwa wa jino unatiba yake. Cha msingi ukiumwa jino wahi hospitali kabla shida haijawa kubwa
  4. McFerson

    Hii hali inaniumiza sana

    Bro kwani ulimkuta bikra? Acha kujimaliza kiboya,mbona huwa huwazii aliyopitia kabla ya kuwa na wewee? By the way,wewe haucheat? Acha kujimaliza bro,hata sisi yanatukuta tunapotezea na life linasonga
  5. McFerson

    RICARDO LAIZER.from Arusha Tanzania at UCI world championship at ZURICH

    Kuna watu huku kwa wasukuma wanapiga bike kinyama,serikali iwasapoti
  6. McFerson

    Hellow dear Members

    Karibu sana
  7. McFerson

    Kwanini nyumba ikifika hapa inakuwaga ngumu kumalizia?

    Hayo madirisha nimecheka sana😀
  8. McFerson

    Mrejesho wakuu nilileta mkasa hapa baada ya kuyatimba yapata sasa week ya8 nimepima bado Neg hukunikiendelea kumuomba Mungu.

    Wakuu tunaomba muweke mirejesho. Imenikumbusha hii story Kuna kipindi 2021 nilimkula kavu demu mmoja zaidi ya mara safari 5. Alikuja kazini kwetu kufanya kazi ya temporary, sasa kulingana uintrovert wangu kanidharau nikajisemea it's enough. Nilikunja yule demu mpaka nilipoona kuna heshima...
Back
Top Bottom