Kwa mwanamke ambaye hafurahii tendo la ndoa,atumie dawa gani,yaani hafurahii wala kufika kileleni hata ukipiga mpaka asubuhi!!
Madaktari msaada tafadhali!!
Kwanini inafaa mpenzi wako akawa kwanza rafiki yako?
AMANI ya kweli katika uhusiano katu haiwezi kupatikana ikiwa wahusika hawajafahamu wanatakiwa kuishi katika mtindo upi wa maisha. Kila mmoja anatakiwa kufahamu kuwa katika mahusiano na fulani si tiketi ya moja kwa moja ya kuwa na furaha na...
Naomba kutumiwa namba iliyolipia hiki king'amuzi chenye namba hii 02035679173 kwa mara ya mwisho? mimi naitwa george allen msumai nilisajili na namba 0716309408,msaada tafadhali
KWA WANAUME WA UKWELI
Ni neno rahisi Lakini Muhimu Ambalo Mwanamke Anahitaji Kusikia Kila Siku kutoka kwa mume au mpenzi wake.
NAKUPENDA
Kupendwa ni mojawapo ya vitu ambavyo binadamu anahitaji sana. Chukulia mtoto mfano,toka tukiwa watoto kupendwa ni kitu kinachohitajika sana na...
Harafu Jamani ,Nilikuwa naomba kwa mwenye uzoefu wa kutunga ratiba anisaidie mfano wa ratiba ya Harusi na Sendoff,maana nilihifadhi kwenye laptop vimefutika
Kazi ya Umc ndo naianza sasa msaada jamani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.