yaani waafrica tunachekesha, unapata wapi ujasiri wa kubishana na shirika la habari lililoanzishwa 1922 yaani hata mkichanganya ukoo wenu wote bado mnaonekana wote mmeikuta BBC, BBC ni shirika kubwa sana kuliko wengi wanavyodhani hawakurupuki ni vile mmehemka kwasababu ameguswa mtu mnayempenda.
Mimi naishi ughaibuni (Diaspora) ila nimekuwa mwekezaji mzuri kupitia taasisi ya uwekezaji inaitwa UTT ipo hapo kwetu bongo na nimejiunga na mfumo wa kupokea gawio la faida kila mwezi uitwao BOND fund na sasa nimeshaweka zaidi ya milini 100 sasa mpaka muda huu nataka kwenda kulala akili inagoma...
sina nia mbaya nataka hiyo ramani kama overview layout nipate kufanikisha mpango wangu wa kujenga apartments kila wilaya ntakayochagua.. sipo Tanzania kwasasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.