Nilianza ujenzi nikiwa 24 nikamaliza nikiwa 27 aisee nilikuwa napenda nyumba kubwa....nikajenga vyumba vya kujiachia....sebule kubwa ....ila kwa sasa natamani nyumba ndogo
Yote inatakiwa makubaliano.
Unajua huna uwezo...mwenzako anataka mtoto wewe umeingia ndoani fasheni huna haja ya mtoto au kwa vile huwezi...(sizitaki mbichi hizi)
Ni muda mrefu hunyandui umeoa ya nn? Ungekuwa jirani yangu ningekusaidia yooote ya ndani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.