Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake. Shahidi wa 12 Luteni Urio kuendelea kutoa ushahidi Januari 31, 2022

Kesi ya ugaidi ilishafunguliwa kabla hata ya magaidi wenyewe kupatikana ama kufahamika! Duh!🤦🏾‍♂️ Ndo mambo ya mchongo haya!

Kibatala: Ni sahihi Kwamba Umeanza Kuwakusanya hawa baada ya Tarehe 20 July 2020...
Siku zote vitu vya kubumba havijawahi kumuacha mtu pasipo kumpa aibu ya maisha. Na mpaka sasa hii ndio kesi iliyokaa kijinga zaidi duniani. Na majaji wenye akili walistuka wakaacha kusikiliza kesi wakasepa.Sikuzote maneno ya kulishwa humletea shahidi tatu kubwa ktk historia ya maisha yake.

Mashahidi hawa ni binadamu wanastahili heshima na thamani.Hii kesi inafuatiliwa ulimwenguni na kinachoendelea ni fedheha kwa taifa tena fedheha kubwa.
 
Kesi ya Ugaidi ya Mbowe na wenzake inavutia sana sababu mpaka dakika hii sijaona shahidi mwenye credility toka upanda wa mashtaka. Denis Urio ni mwajiriwa wa JWTZ ,kwa hiyo kitu chochote anachofanya nje ya kambi lazima kipate baraka ya mkuu wa kambi
Je Denis Urio alimueleza hiyo issue ya Mbowe na wenzake kupanga ugaidi.? .Na kama alimueleza mkuu wa kambi basi na yeye atakuwa amemueleza mkuu wa majeshi ya .Ulinzi.Sidhani kama kuna Jina la Denis Urio kwenye kitabu cha wageni ofisini kwa DCI.
Ndio maana utetezi wake kuwa aliingia ofsini kwa kutoa kitambulisho chake kitu ambacho ni watu wachache wanaweza kumuamini.Hata hivyo Tanzania itaweza kuweka historia katika mapinduzi ya uongozi kwa mtu wa nje ambaye sio mwanajeshi kupindua nchi..Sidhani kama kulikuwa na CCTV kamera kipindi hicho ofisini kwa DCI zilizo mrekodi Denis Urio akiingia na kutoka
Kukosa namba za simu muhimu kama ya DCI...
Kukosa description makini ya ofisi ya DCI...
Na mengineyo mengi yanaonesha kuwa Urio hajawai kuwasiliana wala kwenda ofisini kwa DCI.
Wawili hao hawajawahi kukutana!

NB: Kingai ni jambazi kama Sabaya na Makonda chini ya genge lao la wasiojulikana (task force).
 
Nadhani tulishakubaliana huyu bwana ni Luteni sio Kanali Sasa haya ya Kanali yanatoka wapi kilongosi?
 
Kesi ya Ugaidi ya Mbowe na wenzake inavutia sana sababu mpaka dakika hii sijaona shahidi mwenye credility toka upanda wa mashtaka. Denis Urio ni mwajiriwa wa JWTZ ,kwa hiyo kitu chochote anachofanya nje ya kambi lazima kipate baraka ya mkuu wa kambi
Je Denis Urio alimueleza hiyo issue ya Mbowe na wenzake kupanga ugaidi.? .Na kama alimueleza mkuu wa kambi basi na yeye atakuwa amemueleza mkuu wa majeshi ya .Ulinzi.Sidhani kama kuna Jina la Denis Urio kwenye kitabu cha wageni ofisini kwa DCI.
Ndio maana utetezi wake kuwa aliingia ofsini kwa kutoa kitambulisho chake kitu ambacho ni watu wachache wanaweza kumuamini.Hata hivyo Tanzania itaweza kuweka historia katika mapinduzi ya uongozi kwa mtu wa nje ambaye sio mwanajeshi kupindua nchi..Sidhani kama kulikuwa na CCTV kamera kipindi hicho ofisini kwa DCI zilizo mrekodi Denis Urio akiingia na kutoka
John Okello alipindua nchi na hakua mwanajeshi. Ufaransa mfalme alipinduliwa na raia. Misri same.
 
Kanali atambe!!! Sidhani hata huo umeja atafikia .

Kwanza anaweza rudi jeshini moja kwa moja court Marshal.Akajikuta kazi hana
Ndo kinachomsubiri baada ya kesi hii kuisha. Pamoja na kwamba makazini tunazimiana makosa ila kwa cheo chake amini kwamba kuna superior wake tayari anamsubiri kwa hamu ili afundishwe nidhamu kwa alichokifanya.
 
Je, ana ushahidi wa hayo anayoyasema? Urio is supposed to convince the court without doubts. He must have concrete evidences which up to now he has none.
mahakamani shahidi mmoja tu sio lazima aishawishi mahakama beyond reasonable doubt, ila, mkusanyiko wa mashahidi wote ndio unatakiwa kufanya hivyo.

Pamoja na kwamba shahidi mmoja anaweza kutosha kama atathibitisha, lakini hata asipothibitisha huwa wanaangalia na ushahidi wa wengine kama unaungana. kasome kitu kinaitwa circumstancial evidence.
 
Labda kama Mbowe aliongea kuhusu hizo hujuma na watu wengine apart from Urio na hao watu wana evidence labda recorded voice, sms etc. Lakini kama ni Urio peke yake na hakuna concrete evidences hakuna cha matofali, renta wala kupaua
hizo ni fikra zako, unaamini upo sahihi, ila kuna fikra za wengine ambao ndo wanaandia hukumu. wewe hukumu yako unaiandikia jf. pyuuuuu
 
i
Fuatilia kesi acha kumung'unya maneno.. Urio anajichanganya hapana ni nyingi kuliko ndio
ile kuthibitisha kwamba alikuwa anawasiliana na DJ, ina mchango mkubwa sana kwenye kesi ukiunganisha na ushahidi wa wengine. usiangalia kipengele kimoja tu. halafu, contradictions hizo zimeondoa ukweli kwamba urio aliwasiliana na dj? zimeenda kwenye root ya kesi? hujui kitu wewe.
 
Lisu zile damu ulizommwaga dodoma Mungu atazidai tu. Ulivyo Zezeta toka hiyo ishu ya ugaidi mwezi wa saba 2020 mnamshika mtu 2021 Kama ni gaidi angeshafanya yake kitambo. Wote wabinua pua tu mnatumwa kuuwa watu mnakubali kwa uzezeta wenu hamjiulizi kwanini wasiwatume watoto wao kuuwa?. Hawataki kuwapa laana ya DAMU za watu watoto wao wanawapa wajinga mnaokubali hovyo. Unamsifia Urio kwa lipi hapo zaidi ya Ujinga tu
aliyekwambia kesi ya jinai huwa inakufa ni nani? and the matter was still under investigation. unaweza kufanay kosa 20 years ukakamatwa leo. ndio jinai zilivyo. na kwa hao, tukio liliripotiwa kipindi kilekile wala hakukuwa na delay. kama umefuatilia ushahidi utagundua hilo.

ukija kwenye laana ya damu, ninaamini aliyemwaga damu ya yeyote, awe lisu au yeyote, atapata malipo yake, na amini usiamini, sio wale wanaoenda kuua tu hata wale ambao wamewatuma huwa wanagawana adhabu.

Wote tulisikitika kilichotokea kwa lisu, lakini pia hata yeye baadaye ametuumiza sana watanzania kwa kuwaambia wazungu wasituletee misaada tukome wananchi wa kawaida wakaumia sana na wale wa ikulu anaoshindana nao hawajawahi kulala njaa. kwahiyo hata yeye ametuumiza na Mungu atamlipia.
 
Back
Top Bottom