Recent content by mc1886

  1. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    brentford kakuharibia....
  2. M

    Natafuta Chuo cha guidance and counseling

    Kwa yeyote anakifahamu chuo chochote kilichopo dar wanafundisha guidance and counseling kwa level ya cheti naomba anijulishe.. Ukiacha KIU USTAWI na TIU.
  3. M

    Maths teacher needed DSM

    A-level maths teacher with Cambridge syllabus experince is urgently needed. Send your CV at info@laureate.or.tz
  4. M

    Nahitaji kununua powertiller (kubota)

    Natumai humu ndani nyote hamjambo. Poleni na majukumu. Nahitaji kujua gharama za powertiller aina ya kubota naweza pata wapi hapa Dar na price zikoje. Yeyote mwenye kujua tafadhari naomba unijuze. kama unauza niPM namba yako ili tufanye biashara. asante.
  5. M

    Natafuta mtaalamu wa kuandika mchanganuo wa biashara.

    Habarini za leo? Natafuta mtaalamu wa kuandika mchanganuo wa biashara. NIKO DSM. Nauhakika hapa ndiyo mahali pake. Yeyote mwenye utaalamu huu naomba anifahamishe ili nimpe details. Natanguliza shukursni.
  6. M

    Nani yuko macho tupige stori?

    Ni jambo jema kushukuru....
  7. M

    Nani yuko macho tupige stori?

    Heri ya mwaka mpya...
  8. M

    I pad.. I need advice.

    Asante kwa kunijuza.
  9. M

    I pad.. I need advice.

    Ni ipad ndugu yangu, sikujua kama kuna kitu kingine kinaitwa i paid? Dah!
  10. M

    I pad.. I need advice.

    Asante kwa kunirekebisha,uko sahihi kabisa. Point taken and Thanks in advance.
  11. M

    I pad.. I need advice.

    Hello, wajenzi wa Taifa, kwema? Nahitaji kununua I PAD mpya, Ipi ni bora zaidi kati ya Sumsung na apple? Ni wapi naweza kupata quality nzuri hapa Dar? What things should i consider as important when serching? How does the price range? Thanks in advance.
  12. M

    Wenye utaalamu na ps 2 naombeni msaada

    Asante kwa ushauri wako... wapi naweza pata na zinakost sh. ngapi?
  13. M

    Wenye utaalamu na ps 2 naombeni msaada

    Asante kwa ushauri, is just i have a play station center therfore is easier to play games via usb/flash disk other than from cds... and I dont want to be buying new games every now and then.
  14. M

    Wenye utaalamu na ps 2 naombeni msaada

    Ziko 3, moja inatumia adapter na 2 zinatumia wire direct.
Back
Top Bottom