Salaam Wakuu
Kwa muda mrefu baada ya shambulio la ugaidi la septemba 2001, neno ugaidi limekuwa ndio habari ya mjini, huku walengwa wa kushukiwa na ugaidi wakiwa ni waumini wa dini fulani wenye majina ya dini fulani.
N
Hapa JF, ni kisima cha maarifa na watu tofauti tofauti wapo humu. Kwa...
Penye Riziki hapakosi Fitina.Mambo yote mwachieni Mwenyezimungu maana imeandikwa riziki alompangia mja Mwenyezi Mungu, HAKUNA BINADAMU ANAYEWEZA KUIZUIA. Sana sana ataichelewesha tu...... Mumjue Mungu wakati wa furaha na shida.
Gazeti limeweka facts na data zake kusapoti inachoamini. Kabla hujashauri lifungiwe, washauri kwanza wajibu joja za gazeti kisomi na kitakwimu. Otherwise, you shut up your mouth man!
Wanakutangazia kwa sababu hata wakikutangazia huna ubavu wa kumdhuluRaisi wao kwa namana yoyte ile labda Mungu apende vinginevyo. Kuna baadhi ya vitu lazima tukubali tu kuwa hwa majamaa wametuzidi......Fullstop.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.