Recent content by Mbwitombwito

  1. M

    DANGOTE cement imekuwa adimu

    Bukoba elfu ishirini
  2. M

    Kwanini Waislam hawajifunzi?

    Acha unafiki. Tangu lini muislamu akasali kanisani?.Acha kuchezea Imani za watu.......
  3. M

    Nisaidieni wakuu, nini maana ya ugaidi?

    Salaam Wakuu Kwa muda mrefu baada ya shambulio la ugaidi la septemba 2001, neno ugaidi limekuwa ndio habari ya mjini, huku walengwa wa kushukiwa na ugaidi wakiwa ni waumini wa dini fulani wenye majina ya dini fulani. N Hapa JF, ni kisima cha maarifa na watu tofauti tofauti wapo humu. Kwa...
  4. M

    Jovin Kwanini unataka kumfukuzisha mume wangu kazini?

    Penye Riziki hapakosi Fitina.Mambo yote mwachieni Mwenyezimungu maana imeandikwa riziki alompangia mja Mwenyezi Mungu, HAKUNA BINADAMU ANAYEWEZA KUIZUIA. Sana sana ataichelewesha tu...... Mumjue Mungu wakati wa furaha na shida.
  5. M

    Buriani Mwalimu Kaijage

    R.I.P
  6. M

    Maisha yamepanda bei

    Safi kabisa, haba na haba hujaza kibaba, chambilecho.........
  7. M

    Gazeti la MIZANI na uchochezi dhidi ya Rais, Waziri Nape lifute hili gazeti

    Gazeti limeweka facts na data zake kusapoti inachoamini. Kabla hujashauri lifungiwe, washauri kwanza wajibu joja za gazeti kisomi na kitakwimu. Otherwise, you shut up your mouth man!
  8. M

    Kinana: Lowassa ni Rafiki yangu

    Kabisa FaizaFoxy
  9. M

    Hili ndilo gari linalotumiwa na Rais wa Marekani

    Wanakutangazia kwa sababu hata wakikutangazia huna ubavu wa kumdhuluRaisi wao kwa namana yoyte ile labda Mungu apende vinginevyo. Kuna baadhi ya vitu lazima tukubali tu kuwa hwa majamaa wametuzidi......Fullstop.
  10. M

    Kikwete na Rais Magufuli wapanda gari moja

    Ukongwe kwenye game ni dawa. Utakuta JPM anataka kuteta na JK kwa ajili ya mambo ya nchi...
Back
Top Bottom