Inabidi Chuo ndo wawasiliane na watu wa utumishi kufafanua... vinginevyo hata mimi nisiyezijua hizo kozi naweza kutafsiri kwamba wa History and Political science haendani na hiyo kazi...
Inawezekana mlikuwa mnasoma pamoja kozi za Political Science sio Public Administration...
Sorry, hayo ni...
Una hoja ya msingi.
Inawezekana tatizo ni kwamba taasisi za usajili wa mahehebu hazina mamlaka juu ya kiongozi wa kiroho wa dhehebu lolote. Kwa mfano, wangekuwa wanatoa leseni ya uchungaji wangeweza kufungia leseni ya Askofu Gwajima bila kuathiri kanisa lake.
Hapo kwenye picha sio Ramadhani Kailima...huyo aliye na Nchemba ni Prof. wa Uchumi...alikuwa UDSM na baadaye Chuo Kikuu cha Tumaini DSM..sijui yuko wapi kwa sasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.