ALFHA MWITA
Member
- Jun 28, 2025
- 83
- 105
Peleka taarifa kituo cha polisi ili sheria zichukuliwe
Sasa hujibu pm nifanyajeBabe, hii habari ulitakiwa unijulishe mimi kwanza kabla ya kuja huku kumwaga mchele kwenye kuku wengi! 🙆
SawaPeleka taarifa kituo cha polisi ili sheria zichukuliwe
Akili.za mafirauni hiizAmemis kupigwa pumbu tu
Nimeiona asante ni wawapiNmekupm namba ya mganga
Evelyn Salt...hivi majibu kwenye post mbalimbali unayatoa wapi? 🫡🫡Nmekupm namba ya mganga
Walikupakia kwa Ungo...Jana nimejikuta nimelala njee tena ni baada yakumuota X wangu amekuja kunisalimia nikaja kumfungulia mlango .
Aisee hii ni maajabu sasa hii inakuwaje ??
Hivi wewe ndio unaitaga wenzio attention seekers