Recent content by mbwa mwizi

  1. mbwa mwizi

    Waziri Lugola amtimua Kamishna Jenerali wa Magereza, Juma Malewa kwenye kikao kwa kuchelewa

    Sio muda wote tutaongea lugha moja, hakika yajayo yanachukiza sana.
  2. mbwa mwizi

    Mbona ghafla CCM imeingiwa ganzi?

    Hawa jamaa watapata taabu sana.
  3. mbwa mwizi

    Jiji la Mwanza linakua kwa kasi mno!

    siku hizi kipimo cha maendeleo imekuwa vitu sio watu, majengo marefu pekee ndio maendeleo?
  4. mbwa mwizi

    Vifo vya Wanafunzi Arusha: TBC mmetutia Aibu kubwa

    TBC hawajitambui kabisa
  5. mbwa mwizi

    Jiji la Mbeya kama kijiji

    pole sana na mawazo yako mgando kwa kuzani maendeleo ni magorofa marefu na majumba ya starehe kuna watu wapo dar wanaishi maisha mabaya sijawaiona sasa nani bora kati ya mimi nilie kijijini naish maisha mazuri nalala pazur nakula vizuri na wewe ulioko mjin lakin maisha yako ya mabaya ila...
  6. mbwa mwizi

    CCM wametushika pabaya

    hata msemeje kura ni fisad lowasa tu hatuna namna nyingine
  7. mbwa mwizi

    TANESCO, tangazeni rasmi kuwa mgao wa umeme umeanza

    hata Mbeya wamekata
  8. mbwa mwizi

    Hali ya Kamanda David Silinde taabani Jimboni kwake-Mbozi

    mleta post ni muongo tuulize sisi tulioko momba acha uzushi wa kizamani
  9. mbwa mwizi

    Sehemu ya kwanza: Jifunze umeme, jifunze electronics kupitia darasa la online

    safi sana ndugu endelea kutuelimisha zaid kuhusu umeme
Back
Top Bottom