CCM wametushika pabaya

CCM wametushika pabaya

Tatizo hawa nyumbu wao wanamkimbilia tu Lowassa hawajui kua anawatumia kama daraja tu
wanatia huruma nyumbu. wanakimbia tu kuelekea malisho kama zombies. mbowe kawauza hata hawatambui.
 
  • Thanks
Reactions: nao
Yaani tenda zote za Halmashauri ya mji zimeshikwa na Dada yake Lowassa.?
 
  • Thanks
Reactions: nao
Sisi Watanzania tumezoea kutoa kura zetu kwa mafisadi...

Tulianza kumpa fisadi 'Denjamani Mkaa Hapa' akatuibia na kuanzisha biashara zake ikulu...

Kuonesha kuwa sisi na mafisadi ni damu damu, tukamrudisha fisadi mwingine tena tukathubutu kabisa kuelezea ni chaguo la Mungu...

Huyu naye kama kaka yake aliyetangulia naye hakulaza damu, EPA, Richmond, Escrow na maufisadi yote yametokea huku yeye akiyatazama maana anajua akiyapigia kelele atapoteza sifa kuu ya sisi wapiga kura kutaka tuongozwe na fisadi...

Sasa mwaka wa kuchagua fisadi mwingine ndio huu umefika, ni mwezi na ushee umebaki...

Bahati nzuri tuna fisadi mwingine ambaye wewe mleta mada umetuelezea kwa kumnukuu kada wa CCM...

Naomba umwambie tu Bw. Makamba kuwa sisi Watanzania desturi yetu ni kuwachagua hawa mafisadi...

Mwambie aache kupiga kelele kwa kuwa tu huyo fisadi anayemnanga hayupo chama chake...
 
awapi hzo ndoto kama unamwamini sana makamba muombe akuelze kuhusu nymba za serikali zilizo ongwa kwa kimada na nyingine kuuzwa mbna haxemi?

shtuka ndg unapotea ukawa atukati tamaa ata kama wamemnunua dkt.slaa
af nae anaona kula mihogo sifaaa acha chk na madaraka slaa utaptza mvuto wa kisiasa ooh
 
nataka mbatia aitishe tena mkutano wa kumsafisha maana amekuwa na kiherehere cha kujibu mambo yasiyomhusu inajulikana kabisa alijenga mtandao wa wakurugenzi wa wilaya ili yeye na ndugu zake waweze kufanya biashara na serikali bila tatizo
 
  • Thanks
Reactions: nao
Sisi Watanzania tumezoea kutoa kura zetu kwa mafisadi...

Tulianza kumpa fisadi 'Denjamani Mkaa Hapa' akatuibia na kuanzisha biashara zake ikulu...

Kuonesha kuwa sisi na mafisadi ni damu damu, tukamrudisha fisadi mwingine tena tukathubutu kabisa kuelezea ni chaguo la Mungu...

Huyu naye kama kaka yake aliyetangulia naye hakulaza damu, EPA, Richmond, Escrow na maufisadi yote yametokea huku yeye akiyatazama maana anajua akiyapigia kelele atapoteza sifa kuu ya sisi wapiga kura kutaka tuongozwe na fisadi...

Sasa mwaka wa kuchagua fisadi mwingine ndio huu umefika, ni mwezi na ushee umebaki...

Bahati nzuri tuna fisadi mwingine ambaye wewe mleta mada umetuelezea kwa kumnukuu kada wa CCM...

Naomba umwambie tu Bw. Makamba kuwa sisi Watanzania desturi yetu ni kuwachagua hawa mafisadi...

Mwambie aache kupiga kelele kwa kuwa tu huyo fisadi anayemnanga hayupo chama chake...

Kweli kabisa watz tunapenda mafisadi na tutamuweka fisadi wetu lowassa. Magamba wapite hivi
 
hako kazee kanafki ndicho kalichoifikisha CCM hapa ilipo Ukatibu wake Mkuu ulivumbikwa na fitna, ukiukwaji wa taratibu, rushwa na ufisadi wa hali ya juu hata waliomfuata kushindwa kurekebisha! kama mnakumbuka uvuaji gamba ulivyoshindwa na mpaka leo mpasuko huu kiini chake ni Makamba na kutengeneza nafasi ya mwanae January kugombea Urais! Fitna za richmond na ufisadi wa Lowassa zimekuzwa sana na kambi iliyoanzishwa kipindi cha huyu mzee na matokeo yake ndo haya! Ninadiriki kusema kama asingepewa Ukatibu Mkuu CCM isingekuwa kwenye hali hii ngumu iliyopo sasa! Na aache kutumia maneno ya Biblia kwenye speech zake zenye nia ya kuhalalisha ulaghai wake...
 
Mwaka 2013 nilikuwa Kenya
Mengi yalisemwa ikiwepo
Unamiliki Aridhi nyingi sana uliipataje......
Umeua watu
Una hela nyingi
Ila mwisho wa siku ni huyo huyo muuaji, mwizi, tapeli ndio Raisi wao na maendeleo yanaonekana sasa tofauti na mwanzo

Uhuru alishinda kwa kutumia ukabila.

Yaani K tatu...Kikuyu,Kamba na Kalenjine.

Hii ni Tanzania ya makabila zaidi ya 120
 
Uhuru alishinda kwa kutumia ukabila.

Yaani K tatu...Kikuyu,Kamba na Kalenjine.

Hii ni Tanzania ya makabila zaidi ya 120

Usinambie kuwa hakuna makabila mengine ambayo hayakupiga kura
 
hako kazee kanafki ndicho kalichoifikisha CCM hapa ilipo Ukatibu wake Mkuu ulivumbikwa na fitna, ukiukwaji wa taratibu, rushwa na ufisadi wa hali ya juu hata waliomfuata kushindwa kurekebisha! kama mnakumbuka uvuaji gamba ulivyoshindwa na mpaka leo mpasuko huu kiini chake ni Makamba na kutengeneza nafasi ya mwanae January kugombea Urais! Fitna za richmond na ufisadi wa Lowassa zimekuzwa sana na kambi iliyoanzishwa kipindi cha huyu mzee na matokeo yake ndo haya! Ninadiriki kusema kama asingepewa Ukatibu Mkuu CCM isingekuwa kwenye hali hii ngumu iliyopo sasa! Na aache kutumia maneno ya Biblia kwenye speech zake zenya nia ya ulaghai wake...

Mwambie Mbatia aache mapambio kwenye mikutano ya siasa!
 
Uhuru alishinda kwa kutumia ukabila.

Yaani K tatu...Kikuyu,Kamba na Kalenjine.

Hii ni Tanzania ya makabila zaidi ya 120

Usinambie kuwa hakuna makabila mengine ambayo hayakupiga kura

Akikujibu unisaidie kumuuliza, aliposhindwa mara ya kwanza hayo makabila yalikuwa likizo au yalikuwa hayajazaliwa??
 
wanatia huruma nyumbu. wanakimbia tu kuelekea malisho kama zombies. mbowe kawauza hata hawatambui.
Hata akimiliki dunia nzima Lowasa ndiyo rais wetu, kutawaliwa na maskini ni shida ona tumetawaliwa na Kikwete kachungulia kaanza kujilimbikizia hata mgombea wa kijani nae atafanyavhivyo hivyo.dawa ni kuing'oa tu hakuna namna nyingine
 
Back
Top Bottom