Naifahamu hiyo Kampuni A to Z,niliajiriwaga hapo kwa miaka NANE kama Area Manager,ni Kampuni ya MATAPELI kwelikweli,bidhaa zao ni feki na ni gharama sana hivyo wito kwa Wananchi ni KUOGOPA bidhaa za Kampuni hiyo maana ni majanga.
Kikubwa ni Serikali kuongeza juhudi ya kuunganisha umeme kwenye...
Hata kama ni stress za kutokupata Ajira tangu umalize Chuo 2014 ndio uandike kwa kutiririka tu bila hata koma wala nukta?kwa hiyo ukiajiriwa leo kisha ukapewa kazi uandae Ripoti fulani basi utatiririka tu hivyo? inaonekana huajiriwi maana hata uandishi wako wa CV au Application Letter utakuwa na...
MACHOKO mna TABU sana,kumbukeni hilo ni Kombe la KLABU BINGWA na sio Kombe la KUSHIRIKISHWA,kwamba ushikishwe ukuta Kombe la Wanaume kisha udondokee Kombe la MACHOKO kama SHIRIKISHO
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.