Andika ueleweke, una maanisha wagombea wa CCM wote nchi nzima ndio walijaza fomu vizuri bila kukosea ila wagombea kutoka upinzani wote walikosea kwa sababu hawajui kusoma na kuandika. Basi hongereni kumbe CCM ndio inawasomi pekee
Tayari mkuu ili uyaone fungua account yako ya application utaona link imeandikwa selection results fungua hapo utaona admission letter na docs nyingine muhimu
Hawa ma CCM waliotunga hii sheria ya kutuibia hawafai kabisa. Huku ngazi za chini s/msingi na sekondari wanawapeti kwamba Elimu bure. Usithubutu kuchukua mkopo wanaramba kama hawatujui vile. Natamani siku moja aje kiongozi atengue hii sheria ya bodi kandamizi na ya kinyonyaji. Unakuta mtu...
Ada ya vyuo vya ualimu vya serikali ni Tshs 600,000/- kwa mwaka. Ila kuna michango mingine ya Chuo isiyopungua laki moja. Kimsingi mandhari pako poa Chuo kipo mjini na hali ya hewa ya Tarime ni nzuri greenish sana. Karibu sana Tarime
Wakumbuke kabla ya kuappload video YouTube ni lazima kusajili TCRA na kulipia kwanza. Tofauti na hapo utasombwa mahakamani kama walivyofanya kwa MC pilipili
Option ya kuandaa Android Apps ni nzuri zaidi endapo utapata mtaalamu
Serikali iligawa wilaya ya bunda na kuongezeka majimbo mawili ambayo ni Bunda vijijini na Bunda mji. Awali ilikuwa jimbo la Bunda ambalo mbunge alikuwa ndg Wassira na Mwibara mh Lugora ambaye ni mbunge hadi sasa.
Tangu achaguliwe huyu mbunge wa Bunda vijijini hajawahi kuzungukia jimbo kujua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.