Recent content by Mbuty

  1. Mbuty

    JamiiForums Tanzania Dotto Magari: Hakuna tajiri anaeishi porini,matajiri wanaishi mijini kama Dar.

    Ukitaka kuwa na amani katika maisha ni pamoja na kukubali kuwa kuna walio zaidi yako! Aidha, hali hiyo isikufanye ushindwe kujivunia wewe!
  2. Mbuty

    JamiiForums Tanzania Azam Media huyu Meena Ally aliye katika A List yenu ya Wachambuzi wa World Cup hii amechambua lini na wapi Mpira / Mipira?

    Nadhani ameenda kama mchambuzi! japo bado hajatushawishi kuwa na football personality ila ndio mambo ya liriki hayo! Hii ndio ile tunasema changamoto ni fursa!
  3. Mbuty

    JamiiForums Tanzania Uchumi: Hakikisha kila ukiingiza 20,000 tumia 400 tu

    Mafanikio hayana formula ndg yangu. Neno matumizi ni pana sana na inategemea na mazingira yako! kikubwa, Omba Mungu, fanya kazi kwa bidii na tafuta njia ya kuongeza kipato zaidi. Binafsi naona itakuwa hakuna maana kama unashindwa kufurahia jasho lako!
  4. Mbuty

    JamiiForums Tanzania Zanzibar: Naibu Waziri wa Vijana, Hassan Khamis: Wanaofanya kazi kwenye Mahotel Zanzibar siyo wazawa inabidi tufanye Mapinduzi

    Labda ungetujuza sababu zinazopelekea Wazawa kutoajiriwa kwa wingi katika Mahoteli husika?
  5. Mbuty

    JamiiForums Tanzania Kwanini watu wengi tunaendelea kunywa pombe licha ya kuona madhara yake kwa wengine?

    Hakuna jambo zuri au baya kwa ujumla wake, bali namna ya matumizi ndio hupelekea kuwa zuri au baya! Pombe imekuwepo toka enzi. Gari linaweza kuwa zuri sana kwa kukuwahisha kazini ila pia, linaweza kukuwahisha paradiso endapo litatumika vibaya! kikubwa, tujifunze kufanya jambo sahihi, kwa wakati...
  6. Mbuty

    JamiiForums Tanzania Kijana wa Miaka 25 Kuwa Baba wa Kambo wa Mtu wa Miaka 36, Inawezekana Kweli?

    Kaka, huwezi kucheza na nguruwe halafu usitegemee kuchafuka! matope ni sehemu ya furaha yake. Nikimaanisha, kwa utofauti wa umri kati yako na mwenzako ulipaswa kutegemea hilo na kujiandaa kukabiliana nalo.
  7. Mbuty

    JamiiForums Tanzania SIAFIKI utaratibu wa watu kula msibani

    watu ni sehemu ya faraja katika msiba. aidha, nijuavyo, kwa jamii ya Afrika hususan Nchini, chakula zaidi ya shibe pia ni njia/platform ya kuwafanya watu kujumuika pamoja, kuzungumza au kushikamana. Achilia chakula, watu pia hujitoa kwa namna kadhaa katika kufanikisha msiba. Hivyo, changamoto ya...
  8. Mbuty

    JamiiForums Tanzania Nataka kufungua kijiwe cha kitimoto pembezoni mwa barabara. Je, wazo hili ni sahihi?

    Licha ya kwamba hakuna Sheria ya moja kwa moja ila Watanzania tunaishi kwa kustahimiliana. Kikubwa angalia aina ya jamii katika eneo ulilopo ili walau ujaribu kufanya jambo kwa namna ambavyo ni bora. Kwa maeneo ya majiji naona suala la kitimoto sio inshu, hata pale Micasa inaouzwa barabarani...
  9. Mbuty

    JamiiForums Tanzania Ni sawa kuweka nyimbo za injili kwenye mabasi ya mikoani?

    Bimafsi nadhani ni heri kusikiliza muziki wa injili kuliko zile nyimbo ambazo zimejaa matusi! Au labda kuna madhara yoyote au kadhia ulikumbana nayo kutokana na hilo!?
  10. Mbuty

    JamiiForums Tanzania Bei ya mafuta kuanzia Aprili 1, 2026: Petroli Dar imefikia TZS 3,820; Kagera ikigonga TZS 4,070. Dizeli ipo kati ya TZS 3,806 - 4,078

    doh! sasa kama hali itaendelea sijui kufika Agosti tutakuwa wapi! unfortunately Marekani na Washirika hawapitii adha hii! Mungu na atusaidie utulivu na amani ipatikane Duniani
  11. Mbuty

    JamiiForums Tanzania Kijana jitunze, kuteremkia miaka 40+ kuna zimwi linaitwa Kisukari na Presha. Mkeo atakuvumilia?

    Asante kwa kutoa tahadhari pamoja na kutupatia maarifa.
  12. Mbuty

    JamiiForums Tanzania Kundi Hili la Watumishi wa Umma lina Upeo Mdogo? Nini kifanyike?

    Ulifundishwa na nani Mkuu?
  13. Mbuty

    JamiiForums Tanzania Kaizer Chiefs wapanda dau Kinshasa, Kampala asusa atishia kwenda FIFA

    Kwani Morrison akiwa Simba alikuwa anakaa wapi, marehemu Mafisango? Sidhani kama kuna sheria kwamba, wachezaji hawapaswi kukaa nje, nadhani ni suala la utaratibu. Usichukie pindi jirani yako anaponunua gari, maana, anaweza kuwa msaada wa kukuwahisha hospitali pindi utakapozidiwa!
  14. Mbuty

    JamiiForums Tanzania Asante sana Toyota Cars

    Hongera, yako bei rahisi. Mimi pil ilivuja kwa mbele, nilishusha gear box, seal ilikuwa 25k. Nilibadili 2 hivyo was 50k, plus ufundi 50k. Ilinitoka 100k. Ila, mine wa gx 100 chaser Avante.
Back
Top Bottom