Mimi nadhani sio kwamba wanashangilia polisi kuuwawa kwa mfano maeneo hayohayo viongozi waserikali za vijiji wamekuwa wakiuwawa baada ya kupewa vitisho na wengine wamehama vijiji lkn serikali haikujali lkn lilivyotokea hili mpaka Raisi kaongea kwa hyo inanaokana raia sio kitu
Raisi wako anashaurika? Yeye ndo anatakiwa awaite wanasheria aombe ushauri! Km mtu anasema mlizoea kuitwa ikulu kunywa chai nafasi hio hamtaipata kwangu ndo unasema ashauriwe? Anaona chai ya ikulu ni mhimu kuliko mustakabali wa nchi!!
Mshua ataanza kumchunguza atasema hiyo gari ndo ilikuwa kwenye container wakajifanya wamebeba nguo za mtumba jamaa ana Range Rover sports plate namba kaandika jina lake!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.