TBL imeua mashamba ya ngano, kiwanda cha Kioo Ltd, kiwanda cha vizibo, imechimba Kisima cha maji badala ya kutumia Dawasco, imeuza nyumba, kwa hali hiyo hasara kwa nchi ni kubwa kuliko faida
Sent using Jamii Forums mobile app
Hoja haina utafiti
Unaposema enzi zenu hujapambanua ni miaka gani. Ni kweli kwa sasa inawezekana unaamka hujadindisha kwa kuwa umri wako umeenda, umevamiwa na magonjwa, Msongo. Vijana wa enzi hizi bado wanaamka wamedindisha
Mtoto anapotetewa kupata mimba na kuzaa kwa kigezo cha haki ya kuendelea na masomo naona kuna kasoro kubwa katika fikra za watetezi. Ipo wapi haki ya mtoto atakayezaliwa ya malezi ya mama? Familia maskini itaweza kulea mtoto huyu?
Mbona huoni kuwa Mungu ameona inatosha kuibiwa?
Acha kumtaja Mungu kwa hoja isiyo na mashiko, utendaji wa Mungu ni wa kipekee huwezi kuuona kirahisi hivyo
Hapa sio suala la wenye akili ambao kimsingi ni wachache sana na wanatumika vibaya. Hapa ni kile kilio cha watanzania juu wezi wa mchana je kimepata mkombozi?
Wasomi wetu ni wazuri kujenga hoja hasi katika kuhalalisha tatizo lililopo liendelee kuwepo. Tuseme JPM kakosea so what is the positive move to let us get out from the circle. Ujinga tu eti tumeliamsha dude, sema sasa tufanyeje kikale. Nchi hii ni yetu sote, tutakufa lakini nchi itabaki, je...
Uzalendo ni kusimamia haki ya nchi yako kwa kile unachoamini kuwa ni kwa manufaa ya nchi yako. Soma historia za nchi hizo zinazo halalisha wizi kwa njia ya mikataba na vita kwa ajili ya masilahi ya nchi zao.
Ni wakati wa kujivunia kuwa JPM ameanza popote kuvunja mnyororo tumuunge mkono...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.