Recent content by Mbulukenge

  1. Mbulukenge

    ULEVI: Kwa nini wengine wanabaki juu (Wanajimudu) wakati wengine wanaporomoka?: Kwa jicho la Huruma tutafakari maisha ya ndugu zetu hawa

    Nilianza kipindi niko high school missionaries school ni kama jambo lakwaida kunywa pombe . Chuo nlikua nakunywa kawaida kama kupata vibe especially nikienda club. Balaa lilikuja baada ya kumaliza nlipata kazi somewhere posts ukweli mchungu nlifukuzwa sababu ya ulevi. Nikaingia mtaani kwenye...
  2. Mbulukenge

    ULEVI: Kwa nini wengine wanabaki juu (Wanajimudu) wakati wengine wanaporomoka?: Kwa jicho la Huruma tutafakari maisha ya ndugu zetu hawa

    Nahangaika sana kujinasua na ulevi ila nashindwa Kuna muda nafikiria nijipeleke sober. Maana Kwa uwezo wangu nimeshindwa.
  3. Mbulukenge

    Wife material is needed

    Serious tena ndio maana nmeamua kukuchek financial
  4. Mbulukenge

    Wife material is needed

    Sijapata ujue financial services
  5. Mbulukenge

    Natafuta kazi yoyote

    Habari wanandugu mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 27 niko kwenu hapa kutafuta kazi yoyote ile Kwa mkoa wa Dar es salaam au Kahama.. Uzoefu nlionao driving. Kulinda. Kufuga. Na kazi yoyote ile manual Kwa maelekezo tu. Pia ni graduate wa social protection katika chuo Cha IFM. Niko juu ya mawe...
  6. Mbulukenge

    Msaada wana JF wenzangu, nina msongo wa mawazo

    Napitia mfululizo wa matukio yakunikatisha tamaa kabisa. Nmejariwa kusoma but sijawahi kupata kazi. Kinacho niumiza zaidi nlikua nmeachiwa gari 2 za home coaster kufanya biashara. Nlikata TLB ya special hire nmefanya kama miezi sita fluently gari zinazingua nikajikuta nakua na madeni makubwa Ili...
  7. Mbulukenge

    Msaada wana JF wenzangu, nina msongo wa mawazo

    Napitia changamoto za msongo wa mawazo, nafikiria kujiua tu. Napitia mfululizo wa matukio yakunikatisha tamaa kabisa. Nmejariwa kusoma but sijawahi kupata kazi. Kinacho niumiza zaidi nlikua nmeachiwa gari 2 za home coaster kufanya biashara. Nlikata TLB ya special hire nmefanya kama miezi...
  8. Mbulukenge

    Pombe ya viroba sasa inaitwa "visungura", Serikali ichukue hatua haraka vijana wanapotea kwa kasi

    Akili kubwa bro watu wanahisi jina na upatikanaji wake ndio tatizo.
  9. Mbulukenge

    Tisiogope fursa za mtandaoni

    Hakuna pesa za kudowload .
  10. Mbulukenge

    Chid Benz hali tete

    Huyu gwiji wa kitambo ndio amefikia huku kweli?
  11. Mbulukenge

    Umewahi kukumbwa na janga gani chuoni mpaka ukapaona chuoni kuchungu?

    Starehe za kupitiliza pombe sana na nilikuwa sina mkopo. Nlijikuta nimetafuna ada yote ikabidi nipostpone nikatafuta hela next year nilifanikiwa ku graduate. Na advance nilikula ada ya mwaka mzima 1.4m mpaka leo sijaclear najuta sana instead huwa natumia loss report kwenye harakati za kusaka ajira.
  12. Mbulukenge

    Car4Sale Kwa mahitaji ya Containers (20ft&40ft) pitia hapa

    We zumbukuku kusoma hujui?
Back
Top Bottom