Wenye uzoefu wanisaidie kuchanganua : mahitaji, namna ya kutengeneza, masoko na changamoto zake , mfano wa vitafunwa hivyo ni karanga, ubuyu, bisi na crips za ndizi na viazi au mihogo.
Unfortunately, Google app has stopped, Facebook has stopped unfortunately, haya yananima raha katika simu yangu msaada tafadhal
Sent using Jamii Forums mobile app
Jaman wataalamu kuna tatizo moja naomba msaada.
Nina mafaili mawili; yote yamekosewa
Faili la kwanza nimechanganya watu waliopo na wasio kuwepo na namba zao za simu.
Faili la pili lina watu waliopo tu ila hakuna namba zao za simu nawezaje kurekebisha kwa haraka badala ya kupitia kila jina?
Sent...
Nami nimejifunza kitu kutokana na mada yako
1.Umefanya uchambuzi ukiwa hauko huru kifikra. Umeegemea upande mmoja bila sababu za kiuchambuzi wako.
2.Umechambuwa bila kukamilisha utafiti wako/mafunzo yako ndomana sehemu nyingi umetumia neno LABDA, hii ni ishara kuwa huna uhakika na unachoongea
Vita dhidi ya dawa za kulevya si jambo la kukingiana vifua kwa namana yoyote hile, hii ni kutokana na jinsi biashara yenyewe inavyoendeshwa kwa siri. Hupaswi kumwamini mtu katika hii vita. Kila mtu apigane na amtilie shaka jirani au ndugu yake, mfano kama wewe una dhamira ya dhati ya kuzuia hili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.