Recent content by Mbulaje13

  1. M

    Biashara ya vitafunwa vikavu

    Wenye uzoefu wanisaidie kuchanganua : mahitaji, namna ya kutengeneza, masoko na changamoto zake , mfano wa vitafunwa hivyo ni karanga, ubuyu, bisi na crips za ndizi na viazi au mihogo.
  2. M

    Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

    Mawasiliano 0656993173 Sent using Jamii Forums mobile app
  3. M

    Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

    Tv 32" hadi 24" inahitajika ndani ya siku 30, Bukoba Tanzania Sent using Jamii Forums mobile app
  4. M

    Maswali kuhusu simu na kompyuta

    Samsung ingawa sijuw kama ni OG au nakala, GALAXY J7 MAX Sent using Jamii Forums mobile app
  5. M

    Maswali kuhusu simu na kompyuta

    Unfortunately, Google app has stopped, Facebook has stopped unfortunately, haya yananima raha katika simu yangu msaada tafadhal Sent using Jamii Forums mobile app
  6. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Uhamisho tayar? Sent using Jamii Forums mobile app
  7. M

    Tupeane maujanja ya Excel

    Jaman wataalamu kuna tatizo moja naomba msaada. Nina mafaili mawili; yote yamekosewa Faili la kwanza nimechanganya watu waliopo na wasio kuwepo na namba zao za simu. Faili la pili lina watu waliopo tu ila hakuna namba zao za simu nawezaje kurekebisha kwa haraka badala ya kupitia kila jina? Sent...
  8. M

    Watanzania, hatumjui Paul Makonda?!

    Nami nimejifunza kitu kutokana na mada yako 1.Umefanya uchambuzi ukiwa hauko huru kifikra. Umeegemea upande mmoja bila sababu za kiuchambuzi wako. 2.Umechambuwa bila kukamilisha utafiti wako/mafunzo yako ndomana sehemu nyingi umetumia neno LABDA, hii ni ishara kuwa huna uhakika na unachoongea
  9. M

    Tupeane maujanja ya Excel

    Asante sana
  10. M

    Kauli ya Zitto dhidi ya Mbowe kuhusishwa na madawa ya kulevya

    Vita dhidi ya dawa za kulevya si jambo la kukingiana vifua kwa namana yoyote hile, hii ni kutokana na jinsi biashara yenyewe inavyoendeshwa kwa siri. Hupaswi kumwamini mtu katika hii vita. Kila mtu apigane na amtilie shaka jirani au ndugu yake, mfano kama wewe una dhamira ya dhati ya kuzuia hili...
  11. M

    Zuhura Yunus Mtangazaji Wa BBC Swahili!!

    Hahahaaaaa, sizani kama atarudi kuja kutoa ufafanuzi
  12. M

    Zuhura Yunus Mtangazaji Wa BBC Swahili!!

    Huu sasa ugomvi
  13. M

    Kuna uwezekano Zitto akafanya siasa za kipinzani zaidi awamu hii

    Watanzania akili zetu zinachezewa na wanasiasa kadri wanavyotaka, Wanasiasa ajenda zao ni mbili tu duniani kote MALI AU UMAARUFU,
Back
Top Bottom