Designer_3434
JF-Expert Member
- Dec 4, 2015
- 4,930
- 3,980
Laptop haitoi mwanga.ni HP nikiiwasha naona tu ile logo ya Hp then mwanga unazimika lakini laptop inakua imewakaNikiwa mbobezi katika masuala ya simu hasa Android na kompyuta nakaribisha maswali kuhusiana na matatizo hasa ya software tu....na ushauri wa app muhimu kuwa nazo kwenye simu.......je simu yako ina nafasi ndogo? Je unaitaji kuhifadhi mafaili yako milele? ...
NAKARIBISHA MASWALI........
Kama upo dar karibu ofisini tabata baracuda tuingalie bureLaptop haitoi mwanga.ni HP nikiiwasha naona tu ile logo ya Hp then mwanga unazimika lakini laptop inakua imewaka
Sent using Jamii Forums mobile app
Sipo dar mkuuKama upo dar karibu ofisini tabata baracuda tuingalie bure
SOFTWARE ndio ugonjwa mkubwa wa sasmsung A series nzima hiyoMkuu sim yang A7(2017) ilianza kujizima na kujiwasha yenyewe kwa siku nzima yan haiwak unahis tatzo lilikua ni software au hardware
Sent using Jamii Forums mobile app
ApowerMirror - Mirror iPhone/Android to PC in Real TimeMimi nataka nisaidie application inayoitwa Amirrorpower!
Vizuri sana.Nikiwa mbobezi katika masuala ya simu hasa Android na kompyuta nakaribisha maswali kuhusiana na matatizo hasa ya software tu....na ushauri wa app muhimu kuwa nazo kwenye simu.......je simu yako ina nafasi ndogo? Je unaitaji kuhifadhi mafaili yako milele? ...
NAKARIBISHA MASWALI........
Vizuri sana.
Naomba unisaidie kwa hili...
Natumia galax s6 flat (sio edge), nimeinunua ikiwa ina run android version 6 (mashmallow), ikiwa na uwezo wa 4G. kutokana na simu hizi kufungiwa auto system software upadate, nikaamua kupandisha android version kutoka 6 hadi 7 kwanjia ya computer kwa kutukia odin3.
Nili fanikiwa kupandisha version lakini 4G network haipandi ina pandisha 3G only.
Kabla ya kubadilisha system software simu olakuwa na uwezo wa 4G, but now haina tena 4G.
Niambie nifanye nini ili nipate 4G ikiwa ina run android 7
Mkuu Nina simu yenye uwezo WA 4g na pia ninatumia laini ya tigo yenye uwezo WA 4g ila tatizo linakuja hivi ..nikiwa dar ...morogoro..Dodoma 4g inashika vizuri ila nikiwa baadhi ya mikoa mingine mfano geita ambapo tigo 4g IPO then simu yangu haipabdishi 4g kabisa hapa tatizo nnNikiwa mbobezi katika masuala ya simu hasa Android na kompyuta nakaribisha maswali kuhusiana na matatizo hasa ya software tu....na ushauri wa app muhimu kuwa nazo kwenye simu.......je simu yako ina nafasi ndogo? Je unaitaji kuhifadhi mafaili yako milele? ...
NAKARIBISHA MASWALI........
Sijaacha, Napiga Kazi.mkuu pm hakuna maelezo ni kwamba wale wa pm wameoma program za kompyuta....vipi kazi kule umeacha?
Aina Gani ya simu?
Sam-mobileFile ulidownload kutoka website gani ?
Mkuu Hamna njia ya kuongeza space bila kutumia cloud?! Yani kuongeza internal ya simu bila kuweka app nyingine?Kuongeza nafasi download app inaitwa cloud.mail.ru ....Kubadili imei issue inategemea na aina ya simu yenyewe kwa zaidi ni PM
Naomba kuuliza nilisikia kuna app inayokuwezesha kurudisha taarifa/information/files muhimu zilizopotea,ni kweli? km ipo inaitwaje?Nikiwa mbobezi katika masuala ya simu hasa Android na kompyuta nakaribisha maswali kuhusiana na matatizo hasa ya software tu....na ushauri wa app muhimu kuwa nazo kwenye simu.......je simu yako ina nafasi ndogo? Je unaitaji kuhifadhi mafaili yako milele? ...
NAKARIBISHA MASWALI........