Recent content by MBULAJE

  1. M

    Jinsi ya kutuma "mms"

    NDUGU ZANGU WANAJAMII Nifundisheni jinsi ya kutumia MULTMEDIA MASSEGING SERVICE "MMS"
  2. M

    Hiki ndicho mwanaume anapenda

    "Kauli za wenye viti zidumu"
  3. M

    Wakina Dada Embu Acheni Hii Tabia...Inakera Mno

    Ukiulizwa SWALI dawa yake KUJIBU sio kukasirika na kuja kutusumbua sisi ambao atukukushauri kuanzisha uhusiano na uyo mtu
  4. M

    Mapenzi kwangu mzigo,,,

    JAMEN yeye mwenyewe amechek udhaifu wake kwanza, Maana kule kwe2 kuna ndege 1 kla shimo analopanga kuish analcfu kunuka lakn ukwel n kuwa yeye ndege mwenyewe ananuka kwa hiyo ile arf kweny shimo aisambai ndipo yeye anaic kuna harf nzito ndan ya shimo.
  5. M

    Huyu dem ananizuga au yuko serious.

    "ANAZUGA" co wote waliomtongoza ndio alio kuambia, ukichunguza sana anaokuambia kuwa wamemtongoza ni watu ambao unawafahamu au ndugu zako wa karibu.
  6. M

    Mbunge wa Mtwara Mjini akamatwa kwa uchochezi!

    Kweli yalitamkwa haya? Au ndo umeongeza chumvi!!
  7. M

    Mbunge wa Mtwara Mjini akamatwa kwa uchochezi!

    Tatizo kilichosababisha ghasia au walio sababisha ghasia?
Back
Top Bottom