Hiyo ilikua ni hotuba yake mkoani lindi akijaribu kuelezea namna gani wagombea urais wasivyokua na muda wa kujadili issue ya rushwa kwa uwazi na suala la miiko ya uongozi na aliwataja baadhi ya wagombea na mtu wa kwanza kumtaja alikua Lowasa so nimeshangazwa na hili bandiko
- Mkutano umeanza kuoneshwa live, Sir. George Kahama ameshawasili, huku mh. BM akiwa anasaini vitabu vya wageni.
- Viongozi mbalimbali wa dini nao wameshawasili kwenye eneo la mkutano.(Viwanja vya CCM Mkoa wa Lindi)
- Viwanja vya CCM vimejaa huku rangi za njano na kijani ndio zimetawala
-...
Mafuvu hajahamia EFM alialikwa kwenye Genge na Ezden kama guest Dj baada ya kutema mzigo East Africa yuko anapiga deal zake anakodisha muziki pia ni street dj
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.