Tempo yenyewe si ndo kama hiyo ndugu yangu, maana unashauriwa siku hz tumia ulichonacho kwanza, na fanya kile ambacho unaweza kukifanya kwanza, maana hao wakubwa wetu wenye profesional ajira pia hawana, sisi itakuwaje? Hata tempo pia kama nitapata nitashukuru zaidi, tatizo nitapata wapi? Nikaona...