Recent content by MBUGUNI84

  1. MBUGUNI84

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Nina tecno C8 inahitaji 150000 bado ipo kwenye hali nzuri 0712 166460
  2. MBUGUNI84

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Nina tecno C8 inahitaji 150000 bado ipo kwenye hali nzuri 0712166460
  3. MBUGUNI84

    Baadhi ya wasanii wa Bongo Movie Waandamana kutoka ofisi ya Mkuu wa Mkoa Dar Makonda

    Hawa wasanii wa bongo movie ni wapumbavu wajitathimini kwanza wapi wanakosea wao wanajihusha na siasa ck hizi wakati hawajui wanunuaji wa kazi zao ni waumini wa vyama tofauti sasa inapotekea yy yupo upande wa pili wanasusa kununua kazi zao
  4. MBUGUNI84

    Hemed Kivuyo wa ITV acha ushamba

    Kama anakukela si uangalie tbc ccm yenu
  5. MBUGUNI84

    Kinana aonekana akila bata coventry,UK!

    Hata ukonga pia ni UK[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
  6. MBUGUNI84

    Waliomwombea dua RC Makonda mbona hawakemei maovu yake?

    Hapa ndio tunawaona kumbe viongozi wengi wa dini ni wanafiki sana nchi hii haswa yule anaejiita shekhe wa dar njaa ndio inamsumbua
  7. MBUGUNI84

    Mhe. Freeman Mbowe awasili Songwe kwenye Ziara yakikazi

    Kuimarisha chama ni kitu cha muhimu sana kwa kipindi hiki ingawa mikutano ya hadhara imezuiliwa
  8. MBUGUNI84

    Angalizo kwa Dr. Slaa na Edward Lowassa!

    Hoja nzuri na yenye mashiko
  9. MBUGUNI84

    Utafiti wa namna Lowassa atakavyoinufaisha UKAWA

    Kweli haijalishi ukawa watamsimamisha nani tunachotaka ni Ccm ingolewe madarakani.
  10. MBUGUNI84

    CCM Wapiga Mkwara Television Kuruka Live

    Da kweli kabisa mpaka saa hii kimya kabisa
  11. MBUGUNI84

    Baraza Kuu la Waislam Tanzania latoa tamko kuhusu Mahakama ya Kadhi na Katiba iliyopendekezwa

    Nakumbuka kipindi cha uchaguzi kilichopita baada ya jk kuona waislam walipotoa msimamo wa kutoipigia kura ccm jk akiwa kama mgombea wa uraisi aliahidi kama mtaipigia kura ccm basi nitahakikisha mahakama ya kadhi inapatikana. Baada ya kuingia madarakani jk huyohuyo akasema swala la mahakama ya...
  12. MBUGUNI84

    Chenge ajiuzulu nafasi ya uwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti

    Analinda heshima yake ya vijicent vya wizi
Back
Top Bottom