Hawa wasanii wa bongo movie ni wapumbavu wajitathimini kwanza wapi wanakosea wao wanajihusha na siasa ck hizi wakati hawajui wanunuaji wa kazi zao ni waumini wa vyama tofauti sasa inapotekea yy yupo upande wa pili wanasusa kununua kazi zao
Nakumbuka kipindi cha uchaguzi kilichopita baada ya jk kuona waislam walipotoa msimamo wa kutoipigia kura ccm jk akiwa kama mgombea wa uraisi aliahidi kama mtaipigia kura ccm basi nitahakikisha mahakama ya kadhi inapatikana. Baada ya kuingia madarakani jk huyohuyo akasema swala la mahakama ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.