Angalizo kwa Dr. Slaa na Edward Lowassa!

Angalizo kwa Dr. Slaa na Edward Lowassa!

Kwa vyovyote vile epukeni kumshwmbulia Dr Slaa na familia yake.mchango wake kwenye mapambano ni mkubwa.na hapa tulipo tunamhitaji bado kukamilisha kazi.saa ya ukombozi ni sasa.
 
Punguza mihemko hisiyokua na tija katika ujengaji hoja. Umeanza vizuri ila umemalizia na "shudu". Heshima huwa ni tunu ya kipekee Sana inapotolewa na MTU anayeitambua na kupokelewa na MTU anaye itambua pia. Swali la kipuuzi ulilouliza mwishoni. Ni sawa na umeuliza Lowasa anautakatifu gani kama alishindwa kuweka wazi ufisadi wa "Richmond"?
huo ndio mtazamo wake
 
ukweli mtupu KING COBRA or whoever you are, you are a great thinker indeed! naungana nawewe tusiwe wepesi wa kuhukumu wengine plus tuamini mtu anaweza kubadilika na kuwa msaada. like the way Lowassa amefanya, believe it or not the guy has taken a huge risk, is a life and death situation to him, hivyo tusimpuuze!
 
Huu ndio ukweli ambao utawauma wengi wasiopenda mabadiliko.
Kiukweli ukimya wa Dr. Slaa umeniumiza sana, tumpe muda ila usizidi wiki moja.
 
kwa uzi huu nimefarijika lakini namuombea slaa aende anakohisis ni sahihi zaidi watanzania wapo wengi sana wenye mitazamo ya mbali kuzidi hata dr. slaa. na wenye uwezo wa kuijenga zaidi kambi ya upinzani kuliko hata yeye. mwache aende tuendelee na shughuli zetu za kampeni
 
KING COBRA

Dahh!! Umeongea ukweli mpaka natamani Dr. Slaa hausome huu ujumbe
 
Last edited by a moderator:
Story na sauli imevutia hisia za wengi, ona hapa Daudi akimpigia kinanda Mfalme Sauli kumburudisha!!

Julius_Kronberg_David_och_Saul_1885.jpg
 
Story na sauli imevutia hisia za wengi, ona hapa Daudi akimpigia kinanda Mfalme Sauli kumburudisha!!

Julius_Kronberg_David_och_Saul_1885.jpg

Hakika amerejea vyema na imeingia akilini. Mwenye mwenye ufahamu na atambue.
 
Du baba umemliza kila kitu..kama hujui huezi jua tena maana umechambua na kutafuna kabisa..slaa toka nje haraka na u mkumbatie rowasa tuitoe ccm.
 
Chadema ilituambia ina ushahid wa ufisadi wa Lowasa sasa utaratibu wa nchi hii mwizi anatakiwa afungwe au arudishe mali za umma basi tutamsamee

Mjomba acha kupayuka ovyo.

Mtoa mada ametoa na mfano mzuri sana toka katika Biblia, rejea maneno yake hapo juu kisha ndipo utoe comment zako.

Kama ukifuatilia siku ile Lowassa alipochukua fomu viongozi pamoja na yeye alisema wazi kuhusu ufisadi. Na pia alielezea Richmond muhusika ni nani.

Kaa chini na utafakari; nijaribu kukukumbusha "UFISADI UMEKUWA WA KUTISHA KIPINDI KIPI???? ENZI LOWASSA NI WAZIRI MKUU AU BAADA YA LOWASSA???

Jiulize mwenyewe kisha utapata jibu.

Sisi tunataka kupambana na MFUMO uliopo madarakani na siyo mtu au chama. Na ndio maana mwaka huu tunataka kufnya mabadiliko ya uongozi wa nchi ili kusafisha mfumo.





MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Dk angetumia busara tu ,yaani maamuzi yake kama ni kweli yanatuvunja moyo
 
Kumekuwa na hoja mfu hapa zikipata support ya wana-CCM kuhusu jinsi Mh. Edward Lowassa alivyopokelewa CHADEMA na kuruhusiwa kugoombea Urais. Haya, ngoja tuseme Mbowe alileta hoja ya kumkaribisha Mh. Lowasa kwenye Chama, then, je katika maamuzi yale ya kumpokea si wajumbe ndio walioshiriki katika kudadavua na hatimaye kukubaliana na mantiki ya kumkaribisha Lowasa?

Hivi kweli kama hoja ya kwamba Dr. Slaa aliweka masharti ya kumpokea Mh. Slaa yalipuuzwa na wajumbe na ndiyo maana Dr. Slaa ameamua kupumzika mambo ya CHADEMA, je ni ujumbe gani huu tunaoupata sasa kuhusu Dr. Slaa?? Ni kweli sasa Dr. Slaa ni mtu ambaye akisema hapana au ndiyo na anataka isimame hivyo bila kujadiliwa kwa kuangalia faida na hasara za hoja zake?

Je, kama ni mtu wa namna hiyo, sasa kuna haja gani ya kuwa na katiba ya Chama inayoonyesha namna Chama itakavyoongozwa na kufikia maamuzi kupitia vikao halali vya chama? Ni ukweli usiopingika kwamba ni lazima hoja au ajenda zitoke kati ya wajumbe na zijadiliwe na maamuzi yatafikiwa kwa kuzingatia matakwa ya Katiba na si kwa matakwa ya mjumbe mleta hoja haijalishi awe Dr. Slaa, Mbowe, Prof. Baregu, etc. Sasa kama Dr. Slaa akileta hoja na hoja yake haikupita baada ya kujadiliwa na yeye anaamua kususa, maanake kwamba yeye ni Dictator asiyeamini kwenye vikao halali na mawazo ya watu wengine?

Hakika nimesikitishwa sana na maamuzi ya Dr. Slaa kususia shughuli za CHAMA hasa katika kipindi hiki ambao nafasi pekee ya kupata mtu mwenye influence ametokea CCM na kujiunga CHADEMA. Naomba niseme tu hapa na kulingana na uhalisia wa mambo hapa nchini, Dr. Slaa wa leo hakuwa kwenye nafasi ya kupambana na Magufuli na kushinda. Na kwa msingi huo, Lowassa ni kati ya wachache ambao wanaifahamu CCM in and out na ni mtu sahihi katika kuleta mabadiliko ya kuiondoa CCM madarakani. Hakuna mwingine nje ya Lowasa mwenye nafasi hiyo kwa sasa tuache kujidanganya.

Nasikitishwa sana na hoja ya ufisadi wa Lowasa, swali ni je Katika list of shame je wale wengine mbali na Lowasa wako chama gani kama si CCM? Pamoja na Lowasa kulitolea maelekezo kuhusu ushiriki wake kwenye Richmond kwamba maelezo ya kutositisha mkataba yalitoka juu, lakini bado watu wasiotaka kuwa na fikra mbadala hawako tayari kupokea hilo. Wameendelea kuimba wimbo huo huo wa ufisadi tu hata bila kuangalia je wale wengine tena wengi wako wapi kama si CCM? Hivi mtu kuwa entrepreneurs na kufanikiwa kimaisha ni dhambi? Kama Lowasa ni tajiri kupitia shughuli zake halali sisi tatizo letu ni nini?? In maana matajiri hawaruhusiwi kugombea uongozi? Tuache unafiki watanzania, kwani hata ndani ya CCM kuna matajiri wengi sana lakini wao huo utajiri hauongelewi. Tuache unafiki na kuchafua watu na badala yake tuwe wakweli katika kujadili mambo kwa ujumla bila upendeleo.
 
KING COBRA
attachment.php

Katika Post zako zote King Cobra hii kali sana na umegonga point zote muhimu hasa ile ya rose kamili kumuachia Josephine usukani lakini yeye hataki
ila kwa hii ameshakujibu leo saa 4 asubuhi kuwa katumikia CDM miaka 20
Nina hasira na wewe Slaa pamoja na mkeo toka haraka huko uje huku Mungu anakuita kwa mara ya mwisho umuunge Lowassa katika urais vinginevyo utapotea Kisiasa bado wiki moja tu utapoteza mwelekeo
 
Back
Top Bottom