Recent content by Mbuguni TPC

  1. Mbuguni TPC

    Madereva hapa ku overtake ni salama?

    Mstari umekukataza kuovertake ila kama una hela za kugawa kwa trafiki overtake ila uwe mwangalifu
  2. Mbuguni TPC

    Magereza wakana kumsukuma Lissu mahakamani

    weka video akisukumwa mahakamani
  3. Mbuguni TPC

    Arusha: Mji ulioshindikana kwa watu kula 'bata' hapa Tanzania

    Nilikuwa nakutafuta sana.................................
  4. Mbuguni TPC

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Wewe ungekua vizuri kimaisha ungekuwa unatukana tukana watu ovyo kwenye simu zao. Mzee wa ovyo kabisa huna lolote wewe unafikiri kuwa maarufu hapa mtandaoni kila unachoshauri na kuongea ni lazima watu wakifuate umekuwa nani wewe? Kafie mbele huko.
  5. Mbuguni TPC

    GE2025 Bado kuna Fukuto la kwanini Samia hajapitishwa kwenye Chujio !!!

    mtumishi wa mungu asiyemjua Mungu
  6. Mbuguni TPC

    PreGE2025 Hawa ndio walioumizwa sana na matokeo ya uchaguzi wa CHADEMA

    Eti mtumishi wa Mungu asiyemjua Mungu
  7. Mbuguni TPC

    Je Mizimu ipo au ni maneno ya Watu

    Hana cha utumishi wala nini huyo ni njaa tu inamsumbua, roho mbaya imemjaa kupitiliza na bado eti analeta na vifungu vya biblia pumbavu. Kuna watu hawakupaswa kuwa na elimu kwasababu wanaitumia elimu waliyoipata kupotosha jamii inayowazunguka na mfano ni huyu jamaa mwenye bandiko lake hapa. Kila...
  8. Mbuguni TPC

    Je Mizimu ipo au ni maneno ya Watu

    Kwani wewe una roho nzuri sasa na bandiko lenyewe umeliweka kiroho mbaya tu kwa kifupi ni kwamba kila mtu ashinde mechi zake.
  9. Mbuguni TPC

    Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

    Kwenye meditation unaweza kuwapata malaika kama wanavopatikana majini wa asili tofauti tofauti?
Back
Top Bottom