Wewe ungekua vizuri kimaisha ungekuwa unatukana tukana watu ovyo kwenye simu zao. Mzee wa ovyo kabisa huna lolote wewe unafikiri kuwa maarufu hapa mtandaoni kila unachoshauri na kuongea ni lazima watu wakifuate umekuwa nani wewe? Kafie mbele huko.
Hana cha utumishi wala nini huyo ni njaa tu inamsumbua, roho mbaya imemjaa kupitiliza na bado eti analeta na vifungu vya biblia pumbavu. Kuna watu hawakupaswa kuwa na elimu kwasababu wanaitumia elimu waliyoipata kupotosha jamii inayowazunguka na mfano ni huyu jamaa mwenye bandiko lake hapa. Kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.