habari. tatizo la kushindwa kupatahaja kubwa linatokana na nini? na ukipata haja kubwa unapata choo kigumu sana tena kinaweza kutoka na damu afu unapata maumivu makali sana baada ya kutoa huo uchafu. hii inasababishwa na nini na nini tiba yake.
Habari za saizi wadau. Natafuta kazi nina diploma ya adminstration. Pia ntaweza fanya kazi yoyote ile kama nitafanta training. Kwa yeyote atakae guswa anisaidie jamani Hali mbaya. Asanten wadau
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.