Kuna Jamaa nimeona wakitangaza App na Website yao ya www.becapi.com na app yao kwa jina la BECAPI. Nimependa vitu vilivyomo ila naogopa Kulipa kwani wanasema unalipa then wanakuletea Bidhaa mpaka ulipo. Na Muuzaji wanasema hapewi Fedha uliyolipa mpaka wafanyakazi wao wachukue bidhaa uliyolipia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.