Hakuna nchi ambayo imebinafsisha kila kitu mzee bandari ni sehemu nyeti sana huwezi kumpa mtu binafsi aendeshe kuna mambo mengi ya kiusalama kwetu na nchi jirani ni sawa na kuzi privatelize airports haiwezekani zitakuwa ni highways za kupitishia magendo na silaha haramu .
YAANI TUMPE MCHINA NDIO...
Achana na habari za Vipers sisi wenyewe tunatakiwa kushinda au sare huko Guinea otherwise mambo yatakuwa magumu kwetu sababu tufungwa hiyo inabidi tumfunge Raja mechi ijayo
Mimi nafanya kazi Gerezani huku Marekani “ Larned Correctional facility so wengi wamesema eti huko ulaya mbona wanakula vizuri hakuna kitu kama hicho … Kwa standard ya bongo yes unaweza sema wanakula vizuri lakini Kwa standard ya huku chakura sio kizuri na wanalalamika kila siku plus msosi...
Hivi kuna mzazi mwenye uwezo mkubwa kipesa na mwenye nguvu na anayewapenda sana watoto wake anaweza kujengea familia yake nyumba mfano wa dunia hii anbayo 99% ya viumbe ambavyo vilikuwepo vimetowe duniani kutokana na magonjwa, mafuriko ,ukame ,vimbunga ,njaa sizani mzazi mwenye uwezo mkubwa...
Gharama ni ile ile au inaweza kuongezeka maana contemporary unapunguza gharama za mbao na mabati lakini unaongeza gharama za cement , matofali , water proofing chemical ( gallon moja ni laki mbili na nusu) na inaongeza nondo za rinta na nondo za mifereji ukizingatia bei ya nondo sasa hivi...
Wako jela kutumikia adhabu sasa ukitaka waishi kama wapo vacation tena unaweza gundua wafungwa hawataki kutoka jela wakitoka leo wanarudi tena the next day. Chakura ni sehemu ya panishment .
if God is all good (all benevolent) then God has the desire to end suffering, and if God is all-powerful (omnipotent) then God has the ability to end suffering. Therefore if God does not end suffering, then God is either not all good, or is not all-powerful, and is therefore not God”.
Sasa wewe kwa mtizamo mahoteli yote yanayojengwa kigamboni unazani hakuna barabara ? hapo karibu na kwangu kuna Bamba beach , pickcock nao wanajenga hotel uazania wanatjenga tu bila plan?
Viwanja vyote hapo vimepimwa na vina hati hivyo vya ufukweni ni kwa ajili ya hotels alafu vinavyofuatia ni makazi hiyo ni beach area mzee kiwanja kidogo kabisa ni 1000 square meters
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.