Recent content by mbombo mte

  1. M

    Hili suala la Tuisila Kisinda na Clatous Chama linanishangaza

    Chama, Zimbwe, Onyango... Hawana mbio, lakini wanatumia hesabu na akili sana. Unaweza tembea lakini umepiga hesabu mpira utaupeleka wapi, kuliko kukumbia bila dira.
  2. M

    Mbeya City FC Jersy Concept - 2021/22

    Umeonyesha mbele tu, nyuma vipi???
  3. M

    Kwanini Mchezaji akitoka Yanga kwenda Timu Nyingine Lazma Achemshe

    Yanga inauza wachezaji waliochoka, wakati simba unauza wachezaji ambao bado wako kwenye 'form'.
  4. M

    Mpanda: Rais Magufuli azindua safari za ndege kati ya Dsm - Mpanda

    Jana, tumekosa ndege ya SAA 10 kwenda Mbeya, kumbe iko Mpanda.
  5. M

    Afrika Kusini: Mahakama ya Gauteng yaamuru ndege ya Air Tanzania iliyokuwa inashikiliwa nchini humo kuachiwa. Hermanus Steyn akata rufaa

    'Labda JPM kaamurisha/kaingilia Uhuru ws Mahakama ya Gauteng, kama wengine walivyokuwa wanasema!!' Hongera mahikimu wetu.
  6. M

    Shule hii Mbeya iko wapi?

    Hiyo shule ya NA Mbeya ndipo ilipo sasa Meta Secondary School karibu na Mabatini. Ilichukuliwa na CCM imekuwa Shulman ya wazazi.
Back
Top Bottom