Watu kibao watalipa nduguNani ataekubali lipa 3000 ashukie njiani?
Mbona hizo VIP zipo sana kuanzia saa 11 alfajili. Inaelekea unalala sana. Shida kubwa ipo kwa LATRA hawa wanaleta msongamano wa magari jijini. Wanaua route kijinga sana wanatakiwa watengeneze route ndefu mfano Simu 2000 Chalinze ama simu 2000 Bagamoyo. Ukishakuwa na route ndefu unapunguza sana uwepo wa vituo vidogo vidogo vingi ambavyo havina sababu. Hili la VIP route wangelianzisha hawa DART mwendokasi. Wangekuwa na VIP muda wa asubuhi na jioni. Mbezi Kivukoni 3000 na Kimara kivukoni Tshs 2500. Pia wafanye na kariakoo watahudumia hasa.Nilikuwa na wazo katika mkoa wetu Dar es Salaam nafikiri likikifanyika litapunguza msongamano wa magari kwa asilimia kubwa.
Nilikuwa nafikiria zikisajiliwa daladala za VIP ambazo zitakuwa na Air conditioning usafi wa hali ya juu zikapiga ruti mfano Tegeta- Posta kwa Tsh 3,000 na abiria wote level seat hakuna kusimamisha abiria.
Kwa asilimia kubwa watu wataacha magari binafsi nyumbani na kutumia usafiri huu kwani kwa kiasi kikubwa wataokoa gharama za matumizi ya mafuta pia zitawaepusha misongamano ya kubanana kwenye daladala na pia mtu kufika ofisini kwake akiwa bado nadhifu na bila uchovu wowote.
Usumbufu abiria wanaopata kwenye daladala za kawaida unafanya watu wengi kukopa kupata usafiri binafsi ambao ndio huongeza msongamano kwenye barabara zetu hizi.
Kwenye Mabasi ya mikoa yapo VIP na Treni pia kuna madaraja tofauti hata ndege kwa nini kwenye daladala isifanyike.
Nairobi ndo wanaweza hiloNilikuwa na wazo katika mkoa wetu Dar es Salaam nafikiri likikifanyika litapunguza msongamano wa magari kwa asilimia kubwa.
Nilikuwa nafikiria zikisajiliwa daladala za VIP ambazo zitakuwa na Air conditioning usafi wa hali ya juu zikapiga ruti mfano Tegeta- Posta kwa Tsh 3,000 na abiria wote level seat hakuna kusimamisha abiria.
Kwa asilimia kubwa watu wataacha magari binafsi nyumbani na kutumia usafiri huu kwani kwa kiasi kikubwa wataokoa gharama za matumizi ya mafuta pia zitawaepusha misongamano ya kubanana kwenye daladala na pia mtu kufika ofisini kwake akiwa bado nadhifu na bila uchovu wowote.
Usumbufu abiria wanaopata kwenye daladala za kawaida unafanya watu wengi kukopa kupata usafiri binafsi ambao ndio huongeza msongamano kwenye barabara zetu hizi.
Kwenye Mabasi ya mikoa yapo VIP na Treni pia kuna madaraja tofauti hata ndege kwa nini kwenye daladala isifanyike.
Unataka kumaanisha dengelua?Wazo zuri nimelisomba huku nakunywa dengeluo
Vibali vilimtoaMiaka kama mitano au Sita hivi kuna mtu aliishakuwa na Wazo kama lako pale Mbezi Mwisho Stendi.
Alikuwa na Coaster yake nzuri sana ya kutoka Mbezi Mwisho hadi pale nje ya Posta Mpya akishushia abiria wake nje ya Embassy Hotel kwa Buku tu wakati ule nauli ikiwa mia tano tu ka sikosei.
Hadi wale abiria wakafahamiana na akawa hata na muda maalumu wa kuondoka kituoni, saa 12.30 gari linang'oa nanga hadi Posta mpya bila kusimama vituoni.
Sijui hata aliishia wali lakini alikuwa amebuni mpango mzuri sana., na alikuwa anazipata!!
Wazo zuri.Nilikuwa na wazo katika mkoa wetu Dar es Salaam nafikiri likikifanyika litapunguza msongamano wa magari kwa asilimia kubwa.
Nilikuwa nafikiria zikisajiliwa daladala za VIP ambazo zitakuwa na Air conditioning usafi wa hali ya juu zikapiga ruti mfano Tegeta- Posta kwa Tsh 3,000 na abiria wote level seat hakuna kusimamisha abiria.
Kwa asilimia kubwa watu wataacha magari binafsi nyumbani na kutumia usafiri huu kwani kwa kiasi kikubwa wataokoa gharama za matumizi ya mafuta pia zitawaepusha misongamano ya kubanana kwenye daladala na pia mtu kufika ofisini kwake akiwa bado nadhifu na bila uchovu wowote.
Usumbufu abiria wanaopata kwenye daladala za kawaida unafanya watu wengi kukopa kupata usafiri binafsi ambao ndio huongeza msongamano kwenye barabara zetu hizi.
Kwenye Mabasi ya mikoa yapo VIP na Treni pia kuna madaraja tofauti hata ndege kwa nini kwenye daladala isifanyike.
So, kwanini watanganyika wengi wanapenda kuanza sentensi na neno la kiingereza ''so''? Hii ni tafsiri ya moja kwa moja ya neno ''kwa hiyo wanaoshuka .......''. Jibu ni kuwa wanatakiwa kupanda kama wanakubaliana na nauli. So, umeelewa sasa?So wanaoshuka mwenge hawapaswi kupanda VIP
Una wazo zuri sana. Kusema kweli dala dala za Dar ni kero mbaya sana.Nilikuwa na wazo katika mkoa wetu Dar es Salaam nafikiri likikifanyika litapunguza msongamano wa magari kwa asilimia kubwa.
Nilikuwa nafikiria zikisajiliwa daladala za VIP ambazo zitakuwa na Air conditioning usafi wa hali ya juu zikapiga ruti mfano Tegeta- Posta kwa Tsh 3,000 na abiria wote level seat hakuna kusimamisha abiria.
Kwa asilimia kubwa watu wataacha magari binafsi nyumbani na kutumia usafiri huu kwani kwa kiasi kikubwa wataokoa gharama za matumizi ya mafuta pia zitawaepusha misongamano ya kubanana kwenye daladala na pia mtu kufika ofisini kwake akiwa bado nadhifu na bila uchovu wowote.
Usumbufu abiria wanaopata kwenye daladala za kawaida unafanya watu wengi kukopa kupata usafiri binafsi ambao ndio huongeza msongamano kwenye barabara zetu hizi.
Kwenye Mabasi ya mikoa yapo VIP na Treni pia kuna madaraja tofauti hata ndege kwa nini kwenye daladala isifanyike.
Umewaza mbali sanaHivi vidole ukiviangalia kwa jicho la tatu
Huu uzi umewalenga Wale wenye magari binafsi, kwa hiyo nauli hata kama itakuwa ni tzs 5,000 bado ni ndogo kwao na wanamudu. Na lengo ni kupunguza FoleniNani ataekubali lipa 3000 ashukie njiani?
nafikiri likikifanyika litapunguza msongamano wa magari kwa asilimia kubwa.
Point ya msingi ya kuzingatia ni kuwa, Wale wenye magari binafsi, wako tayari kuacha magari nyumbani na kutumia usafiri wa umma ulioboreshwa, bila kujali ghalama ya nauli kuwa kubwa, wao wanachotaka ni ubora wa huduma ya usafiri. RootNilikuwa nafikiria zikisajiliwa daladala za VIP ambazo zitakuwa na Air conditioning usafi wa hali ya juu zikapiga ruti mfano Tegeta- Posta kwa Tsh 3,000 na abiria wote level seat hakuna kusimamisha abiria.
Umewahi miliki gari?Ni wazo jema tu, vip lisipangiwe njia ya kupita ili kukwepa foleni nauli zake iwe 1000. Bila kujali abiria atashuka wapi. Tiketi zake zitolewe kwa machine ili serikali ipate kodi yake stahili.
Huyu hajui mafuta ya buku 3 Vitz au IST inatoboa Tegeta-Mwenge bila shida.Yani nipandie mwenge nishuke morroco halafu nilipe buku 3?
Haelewi huyu! Kwa hali ya Ewura inavyoenda sasa sijui kama kutakuwa na Vits ya million 4 tena kaka 😂😂😂 ni swala la muda tu!Huyu hajui mafuta ya buku 3 Vitz au IST inatoboa Tegeta-Mwenge bila shida.
Kujali nauli lazima kwasababu haina maana ikiwa nauli hio itazidi au kukaribia gharama za mafuta atakayotumia kwa gari yake. Pia wengi wanatoka ndani kidogo sio barabara kuu ambapo kufika main road itabidi achukue boda mwisho wa siku atatumia 8000/- kwenda na kurudi ambayo akiweka kwenye gari yake inatosha.Huu uzi umewalenga Wale wenye magari binafsi, kwa hiyo nauli hata kama itakuwa ni tzs 5,000 bado ni ndogo kwao na wanamudu. Na lengo ni kupunguza Foleni
Point ya msingi ya kuzingatia ni kuwa, Wale wenye magari binafsi, wako tayari kuacha magari nyumbani na kutumia usafiri wa umma ulioboreshwa, bila kujali ghalama ya nauli kuwa kubwa, wao wanachotaka ni ubora wa huduma ya usafiri. Root