Pesa za LOWASA ale mbowe wananchi tushawishiwe kumchagua hakuna kitu kama hicho atachaguliwa na familia ya mbowe hata iweje ikulu hanusi hatudanganyiki.
chadema mlisha chemka ninyi hamna jipya lazima damu ya waliokufa kwenye maandamano iwe juu yenu maharamia ninyi mnataka urais wa shortcut?kana kwamba hamna mipango ya muda mrefu.
Hebu tuache tabia ya kusafishana huu ni upuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuzi sisi sio watoto EL ni anatuhuma hafai kuwa kiongoza wa nchi hiii tafadhari hivi ninyi watu mmlogwa!!
Ushindi wa zzk kigoma mjini uko uchi ccm wanalijua hilo na vyama vyote wanalifaham licha ya kwamba maadui zake wanaleta siasa za majitaka.zzk hata awe msaliti mara 100 hawezi kulingana na mtu yoyote atakaye letwa kugombea coz siasa anaijua kama ni fitina ndo usiseme so dogo yuko sawa na hawezi...
Acha unafiki kawaulize wakulima wa kahawa, watu hamna jema hata kama hakuna tangible alizo acha hata goodwill huzioni ukienda mikoani ukasema unatoka kigoma unaulizwa kwakina zitto? watu wengi wa kigoma mmeanza kujitaja kuwa ni wa kigoma baada ya zzk kupata umaarufu wengine mlikuwa mmeshapakana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.