Siasa katika mkoa wa Kigoma ni hatari

Siasa katika mkoa wa Kigoma ni hatari

Kigoma Kaskazini ni ya ACT-Wazalendo,wagombea kwa sasa wanaojadiliwa nkwa upande wa Ukawa ni Dr Yared Fubusa wa Chadema,Kwa upande wa ACT -Wazalendo wapo Dr Alex pamoja na Mwl Jashia Khamisi Maarufu,Na CCM anajadiliwa sana Peter Serukamba.

Lakini kama Jashia Khamisi Maarufu atapewa nafasi na chama cgake,basi ACT -Wazalendo watashinda mapema kutokana na kijana kukubalika zaidi jimbi ni ndani na nje ya chama chake.

Kigoma Mjini Zitto kishashinda na sasa anasubiri kuapishwa tu.

Kasulu Mjini ACT kama watampata Machali watashinda Mapema sana.

Majimbo ya kibondo yatagawika kwa ACT na CCM

Kigoma kusini ukawa wanachangamoto kubwa kutokana na Kafulila kutifahanika vizuri msimamo wake,maana anaweza timkia ACT wakati wowote



+kumbe UKAWA hawapati hata diwani duu kweli kiongozi mkuu ni mkuuu huko Kigoma
 
Mwembe yanga zzk akatolah kazingua umma yuda yuda kadanganya hata kwenye mwenzi wa toba alaniwe yuda zzk akatolah
 
ina maana hata hao wazee wa muembetogwa hapo ujiji wanamkubali Zitto na kuachana na UKAWA?
 
ina maana hata hao wazee wa muembetogwa hapo ujiji wanamkubali Zitto na kuachana na UKAWA?

hapo itakuwa ukabira kwa kwenda mbele. nahic zitto atakubarika kirahis maana in mtoto was nyumban. mcheza kwao hutuzwa.
 
kuwa makin vile vijiji ni waelewa sana. vijiji kama bitale, kizenga, nyamhoza mmh... labda ....

Uelewa unamanisha nini? Umefanya utafiti gani? Je kwa kigezo hichohicho cha uelewa unavilinganishaje vijiji hivyo na vile vya Kalinzi, Mkabogo, Matyazo, Mkongoro, Nyatubanda, Mkigo, Zashe ambavyo vingi vipo vinaongozwa na CDM.?
 
Kigoma Kaskazini ni ya ACT-Wazalendo,wagombea kwa sasa wanaojadiliwa nkwa upande wa Ukawa ni Dr Yared Fubusa wa Chadema,Kwa upande wa ACT -Wazalendo wapo Dr Alex pamoja na Mwl Jashia Khamisi Maarufu,Na CCM anajadiliwa sana Peter Serukamba.

Lakini kama Jashia Khamisi Maarufu atapewa nafasi na chama cgake,basi ACT -Wazalendo watashinda mapema kutokana na kijana kukubalika zaidi jimbi ni ndani na nje ya chama chake.

Kigoma Mjini Zitto kishashinda na sasa anasubiri kuapishwa tu.

Kasulu Mjini ACT kama watampata Machali watashinda Mapema sana.

Majimbo ya kibondo yatagawika kwa ACT na CCM

Kigoma kusini ukawa wanachangamoto kubwa kutokana na Kafulila kutifahanika vizuri msimamo wake,maana anaweza timkia ACT wakati wowote

Kwa Taarifa yako ACT imejikiti kwenye baadhi ya vijiwe vya kahawa kule Mwandiga, Gungu na Pale Urusi tu! Sehemu nyingine hamna The so Called ACT.

Who is Jashia Khamis/ Dr. Alex in Kigoma North ? Hao jamaa hawawezi kupata hata kura 1000. Kigoma kaskazini inawajua wabunge wao wajao - Dr. Fubusa.

Manyovu atatangazwa mapema sana Mr. Budida (CDM) kama mbunge mteule.

Kigoma kusini Kafulila kupitia NCCR

Mjini Kigoma ZZK 50% by 50% na Lumenyera.

Kasulu mjini/Vijijini haijalishi watapitia Chama gani ukweli ni kwamba Watarudi bungeni walewale.

Muhambwe atapita mbunge Wa UKAWA.

So ACT ina probability ya 0.5 kupata nafasi ya mbunge mmoja tu Mkoani Kigoma.

ASIKUDANGANYE MTU ETI UKITAKA KUWA MBUNGE KGM NI LAZIMA UPITIE ACT.
 
kuwa makin vile vijiji ni waelewa sana. vijiji kama bitale, kizenga, nyamhoza mmh... labda ....

Unatumia Kigezo gani kusema ni waelewa? Una Tafiti za kuthibitisha.

Kwa kigezo hicho, unazungumziaje uelewa Wa Vijiji kama Kalinzi, Mkongoro, Matyazo, Mkobago, Nyarunanda, Mkigo na Zashe ambavyo vingi serikali zake zipo chini ya CDM??
 
Kwa Taarifa yako ACT imejikiti kwenye baadhi ya vijiwe vya kahawa kule Mwandiga, Gungu na Pale Urusi tu! Sehemu nyingine hamna The so Called ACT.

Who is Jashia Khamis/ Dr. Alex in Kigoma North ? Hao jamaa hawawezi kupata hata kura 1000. Kigoma kaskazini inawajua wabunge wao wajao - Dr. Fubusa.

Manyovu atatangazwa mapema sana Mr. Budida (CDM) kama mbunge mteule.

Kigoma kusini Kafulila kupitia NCCR

Mjini Kigoma ZZK 50% by 50% na Lumenyera.

Kasulu mjini/Vijijini haijalishi watapitia Chama gani ukweli ni kwamba Watarudi bungeni walewale.

Muhambwe atapita mbunge Wa UKAWA.

So ACT ina probability ya 0.5 kupata nafasi ya mbunge mmoja tu Mkoani Kigoma.

ASIKUDANGANYE MTU ETI UKITAKA KUWA MBUNGE KGM NI LAZIMA UPITIE ACT.

Dar wew Jamaa inaonyesha una A+ ya ubishi lakin Ni kwa mbie tu hata farao alikuwa mbishi Kama Wew kukubali kuwepo kwa mungu mpaka dakika za mwisho alivyo angamia ndio akakubali ,lakini haikumsaidia sana mwisho wa siku aliangamia
 
kigoma kaskazini ni ya act-wazalendo,wagombea kwa sasa wanaojadiliwa nkwa upande wa ukawa ni dr yared fubusa wa chadema,kwa upande wa act -wazalendo wapo dr alex pamoja na mwl jashia khamisi maarufu,na ccm anajadiliwa sana peter serukamba.

Lakini kama jashia khamisi maarufu atapewa nafasi na chama cgake,basi act -wazalendo watashinda mapema kutokana na kijana kukubalika zaidi jimbi ni ndani na nje ya chama chake.

Kigoma mjini zitto kishashinda na sasa anasubiri kuapishwa tu.

Kasulu mjini act kama watampata machali watashinda mapema sana.

Majimbo ya kibondo yatagawika kwa act na ccm

kigoma kusini ukawa wanachangamoto kubwa kutokana na kafulila kutifahanika vizuri msimamo wake,maana anaweza timkia act wakati wowote

act-walaghai kazini na uchambuzi duni.
 
Kwa Taarifa yako ACT imejikiti kwenye baadhi ya vijiwe vya kahawa kule Mwandiga, Gungu na Pale Urusi tu! Sehemu nyingine hamna The so Called ACT.

Who is Jashia Khamis/ Dr. Alex in Kigoma North ? Hao jamaa hawawezi kupata hata kura 1000. Kigoma kaskazini inawajua wabunge wao wajao - Dr. Fubusa.

Manyovu atatangazwa mapema sana Mr. Budida (CDM) kama mbunge mteule.

Kigoma kusini Kafulila kupitia NCCR

Mjini Kigoma ZZK 50% by 50% na Lumenyera.

Kasulu mjini/Vijijini haijalishi watapitia Chama gani ukweli ni kwamba Watarudi bungeni walewale.

Muhambwe atapita mbunge Wa UKAWA.

So ACT ina probability ya 0.5 kupata nafasi ya mbunge mmoja tu Mkoani Kigoma.

ASIKUDANGANYE MTU ETI UKITAKA KUWA MBUNGE KGM NI LAZIMA UPITIE ACT.

Nakubaliana na Uchambuzi wako, nimekaa mwezi wa sita wote Kigoma nimefanya utafiti wa kutosha hasa Kigoma mjini, Zitto-ACT ana asilimia 45% na Lumenyera-CDM 55% ya kushinda Kigoma mjini. Changamoto ya Zitto ameendekeza siasa za Misikitini, kitu ambacho wananchi waliowengi hawapendezwi nacho, kwahiyo hata kama atafanikiwa ku win support ya waislam, atakosa support ya dini nyingine na wasiokuwa wafuasi wa dini atawakosa pia, hivyo Lumenyera atakuwa na nafasi ya kushinda. CCM inayo nafasi ndogo zaidi ya kupata ushindi. Itashika nafasi ya tatu.
 
Dar wew Jamaa inaonyesha una A+ ya ubishi lakin Ni kwa mbie tu hata farao alikuwa mbishi Kama Wew kukubali kuwepo kwa mungu mpaka dakika za mwisho alivyo angamia ndio akakubali ,lakini haikumsaidia sana mwisho wa siku aliangamia

Leta hoja nikujibu si kusingizia ubishi! Nimeelezea hapo juu, kama kuna kitu unapingana nacho kwa kusingizia ubishi, kielezee nami nitakujibu.
 
Ushindi wa zzk kigoma mjini uko uchi ccm wanalijua hilo na vyama vyote wanalifaham licha ya kwamba maadui zake wanaleta siasa za majitaka.zzk hata awe msaliti mara 100 hawezi kulingana na mtu yoyote atakaye letwa kugombea coz siasa anaijua kama ni fitina ndo usiseme so dogo yuko sawa na hawezi kuchaguliwa mtu ambaye hajui kuongea kwasababu shughuli kubwa ya mbunge ni kupiga mdomo na sokuwa mtu wa ndiondio so ukweli utabaki hadharani wenye kulialieni lakini dogo lazima mjengoni arudi.kuhusu swala la uchawi na kuloga tanzania inaongoza kwa ushirikina kuliko hata Nigeria hapa tanzania watu wanapractice uchawi kuliko unavyofikilia ndoma unasikia kunawagombea wameenda na wanganga wa jadi na wasoma kuran pale Dodoma hata wewe mwenyewe unayejifanya unamjua Mungu ni mshirikina wa kutupa kwahiyo ni vitu vya kawaida tu.
 
Dar wew Jamaa inaonyesha una A+ ya ubishi lakin Ni kwa mbie tu hata farao alikuwa mbishi Kama Wew kukubali kuwepo kwa mungu mpaka dakika za mwisho alivyo angamia ndio akakubali ,lakini haikumsaidia sana mwisho wa siku aliangamia

kwahiyo unataka tukukubali wewe?
 
Back
Top Bottom