Umeandika maneno mengi ila yote ni hovyo hakuna hoja, umeulizwa swali hivi kujua jinsia ya mtu unaangalia nini, kwani tff hamna viongozi jinsi ya kike kwann wasimchukue na kumvua na kumuangalia simpo tu
Kumbe sikujua chanzo naanza kupata picha japo mleta uzi inaonekana kuna mambo kafuta, mkuu tuongee mimi na wewe mkiwa ndani ya ndoa huwa mnaelewana na kuambizana kila mpango na kushauriana ili kuiendesha familia si ndio, hapa nina swali mleta mada je hiyo kazi mmewe alimsapoti 100% au aliamua...
Sijamaanisha hilo kuachana kupo ila kwa watu walio zaa pamoja haitakiwi kuachana kwa uadui maana tayari mna kitu kinacho waunganisha yaani kuna kitu huwa hamuelewi jinsi unavyo achana na kijana au demu ambaye hujazaa naye ni tofauti na unavyoachana na mtu uliye zaa naye hii ikae kichwani mwako...
Mkuu ni hivi ukiona umeshindwa kuelewana na mzazi mwenzio kwa njia ya kawaida hasa kuhusisha hata wazazi wa pande zote mbili ukakimbilia mahakamani jua mwisho hautakuwa mzuri hpa tunaongelea watoto mkuu, future ya watoto inajengwa na nyie wazazi tena nyote wawili binafsi ukinipeleka huko sijui...
Inaonekana hujaingia kwenye ndoa unaongea kama vile ni rahisi mkuu hiii kesi ni ndogo mno na haiwezi kumalizwa na ustawi wa jamii ni wao wenyewe yaani mmoja wao kujishusha acha kumpampu mwenzio
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.