Recent content by Mboju

  1. Mboju

    Mahitaji ya kuandikisha mtoto darasa la kwanza

    Nachukia majibu ya hivyo kama haya kama huwezi msaidia piga kimya
  2. Mboju

    TFF kufungia mchezaji wa Yanga Princess, Jeanine Mukandayisenga kisa utata wa jinsia ni hujuma kwa timu yetu

    Umeandika maneno mengi ila yote ni hovyo hakuna hoja, umeulizwa swali hivi kujua jinsia ya mtu unaangalia nini, kwani tff hamna viongozi jinsi ya kike kwann wasimchukue na kumvua na kumuangalia simpo tu
  3. Mboju

    Ali Kamwe hafai tena kuwa msemaji wa Yanga

    Vipi kuhusu semaji lenu au tukupe wewe basi usemaji mkuu
  4. Mboju

    TFF yatoa orodha ya mawakala wa Tanzania wanaotambulika na FIFA

    Mbona hatumuoni Jasmine na Shafii dauda😂😂
  5. Mboju

    Naomba muongozo biashara ya MASSAGE

    Rejea uzi wa INSIDER MAN @jinsi biashara ya uber ilivyonikutanisha na mrembo😂
  6. Mboju

    Msaada wa kisheria kuwapata watoto baada ya kuhitilafiana na baba yao

    Hakuna mwanaume anayependa mfarakano ktk familia yake never
  7. Mboju

    Msaada wa kisheria kuwapata watoto baada ya kuhitilafiana na baba yao

    Kumbe sikujua chanzo naanza kupata picha japo mleta uzi inaonekana kuna mambo kafuta, mkuu tuongee mimi na wewe mkiwa ndani ya ndoa huwa mnaelewana na kuambizana kila mpango na kushauriana ili kuiendesha familia si ndio, hapa nina swali mleta mada je hiyo kazi mmewe alimsapoti 100% au aliamua...
  8. Mboju

    Msaada wa kisheria kuwapata watoto baada ya kuhitilafiana na baba yao

    Sijamaanisha hilo kuachana kupo ila kwa watu walio zaa pamoja haitakiwi kuachana kwa uadui maana tayari mna kitu kinacho waunganisha yaani kuna kitu huwa hamuelewi jinsi unavyo achana na kijana au demu ambaye hujazaa naye ni tofauti na unavyoachana na mtu uliye zaa naye hii ikae kichwani mwako...
  9. Mboju

    Msaada wa kisheria kuwapata watoto baada ya kuhitilafiana na baba yao

    Mkuu ni hivi ukiona umeshindwa kuelewana na mzazi mwenzio kwa njia ya kawaida hasa kuhusisha hata wazazi wa pande zote mbili ukakimbilia mahakamani jua mwisho hautakuwa mzuri hpa tunaongelea watoto mkuu, future ya watoto inajengwa na nyie wazazi tena nyote wawili binafsi ukinipeleka huko sijui...
  10. Mboju

    Msaada wa kisheria kuwapata watoto baada ya kuhitilafiana na baba yao

    Inaonekana hujaingia kwenye ndoa unaongea kama vile ni rahisi mkuu hiii kesi ni ndogo mno na haiwezi kumalizwa na ustawi wa jamii ni wao wenyewe yaani mmoja wao kujishusha acha kumpampu mwenzio
Back
Top Bottom