Pole sana na zidi kumuomba Allha! Pia kama simu yako huitumii ktk kuingiza chochote uza pesa fanyia biashara yako naamini utapata nyingine nyingi baada ya mtaji kukua
Demu mmempa ushauri wa kipuuzi sana eti bado mtoto anakubali vipi kuolewa uke wenza, guys kwahiyo atakaa na udogo huo hatozeeka ee na huko akienda kwa ex wake akapigwa tukio akimbie kisa mdogo ee, binti kama mmeo anakupenda na ww una mpenda kaa tulia tengeneza maisha basi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.