Nakumbuka nlikuwa natoka club enzi hizo gyptian,mims na elephant man wamekuja afterparty maisha club,ilikuwa jmosi baada ya ijumaa kutoka kupiga pepa..sasa ile narudi mabibo hostel saa 12 kasoro asubuhi, sista ananipigia simu hiyo jpili asubuhi niende church anabatiza mtoto nikampige...
Mkuu napenda kufahamu vitu kadhaa..
1. Naomba elimu ya application yake katika ukuta wa namna gani na coats ngapi
2.Naomba kuona ingridients zake (ukinipigia picha itafaa zaidi)
3.Stucco most of the time nadhani wa apply kwa nje sasa naomba kujua why hiyo ni ndani tu...
Natanguliza shukrani Mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.