Motivation inatakiwa jata kama utasajili wachezaji wa aina gan sasa 500mil unasajili mchezaji gani mzur kwa mfano,ukiangalia usajili wa Al ahly hyo huenda ni posho ya mchezaji mmoja au wawili so wako sawa kuahidi hyo pesa bila kuangalia usajili ukoje,jikune unapoweza
Mchango wakwenda huko alitoa nan na alienda kufanya nn?isitoshenauli na mambo mengine yote ni sadaka za wakatiriki haohao sasa,let us pray for him,life iko tough sana.ni wakati wa kuongeza imani na sala ili ndg yetu apate nguvu na ujasiri wa kuvumilia mateso hayo na kuyashinda,
Kuna namna watu tunaishi kwa ndoto kubwa lakini tunajikuta tukiendelea kuogelea kwenye maisha ya kawaida tofauti na ndoto zetu. Wengi wetu tunaishi maisha ya daraja la kawaida sana lakini tunapambana ili kufikia malengo makubwa huenda kuliko yale tuliokulia na yale ya wazazi wetu lakini tuna...
Kama ni kwa maneno makali kiasi hcho wala huna faida ya kuwashauri vijana,unamwita shetan mwajiri wa vijana?ur not serious aisee,kuna watu/wananchi wanasomesha na kiendesha maisha kwa kubashiri afu from no where jamaa unakuja kuwadiscourage kweli!njoo na solution ya vijana kupata ajiri ili...
Asishangae inatakiwa ajue tu kua ana allergy na mchanganyiko huo wa dawa na atumie aina ingine ya dawa ili kupatwa na tatzo hilo.Na asiishangae gov maana sio kazi ya gov kutangaza mzio wa kila mtu kwenye dawa fulani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.