Recent content by mbj

  1. mbj

    Mke amuunguza mumewe sehemu za siri na maji ya moto kisa wivu wa kimapenzi

    Duh! Kwahyo jamaa kaunguzwa mpka na mashine!kweli wanawake tuishi nao kwa akili
  2. mbj

    Hizo milioni 500 mnazoahidi kwa timu ikishinda kwa nini msingeziingiza kwenye usajili mkasajili wachezaji Bora kuliko hao mlio nao

    Motivation inatakiwa jata kama utasajili wachezaji wa aina gan sasa 500mil unasajili mchezaji gani mzur kwa mfano,ukiangalia usajili wa Al ahly hyo huenda ni posho ya mchezaji mmoja au wawili so wako sawa kuahidi hyo pesa bila kuangalia usajili ukoje,jikune unapoweza
  3. mbj

    Wakatoliki Wenzangu wa Tanzania tuchangishane upesi tupate Dola 35,000 tukamkomboe Frateri aliyetekwa nchini Nigeria

    Mchango wakwenda huko alitoa nan na alienda kufanya nn?isitoshenauli na mambo mengine yote ni sadaka za wakatiriki haohao sasa,let us pray for him,life iko tough sana.ni wakati wa kuongeza imani na sala ili ndg yetu apate nguvu na ujasiri wa kuvumilia mateso hayo na kuyashinda,
  4. mbj

    Simba Sports Club (Wekundu wa Msimbazi) | Special thread

    Your opinion ila hyo imeenda!
  5. mbj

    Ukweli mchungu unaoishi: Jamii nyingi Afrika maisha yanaandaliwa kutokana na wazazi au familia tunazokulia

    Tia shawaruma hzi mkuu we need to boost our mind japo inaweza isibadilishe uhalisia wa mambo ila itatupa nguvu ya kupambana
  6. mbj

    Mbj hapa

    [emoji16][emoji16]
  7. mbj

    Mbj hapa

    Hii nzuri aisee!
  8. mbj

    Mbj hapa

    Habar zenyuuu nyote!
  9. mbj

    Nahitaji mpenzi (Mume)

    Kwendraaaa!miaka 23 unatafuta mume wakati wenzio wana 30 na bado wanatafuta kaz kwanza,weka cv yako ili tusisumbuane baadae
  10. mbj

    Ukweli mchungu unaoishi: Jamii nyingi Afrika maisha yanaandaliwa kutokana na wazazi au familia tunazokulia

    Kuna namna watu tunaishi kwa ndoto kubwa lakini tunajikuta tukiendelea kuogelea kwenye maisha ya kawaida tofauti na ndoto zetu. Wengi wetu tunaishi maisha ya daraja la kawaida sana lakini tunapambana ili kufikia malengo makubwa huenda kuliko yale tuliokulia na yale ya wazazi wetu lakini tuna...
  11. mbj

    VITU MUHIMU VYA KUZINGATIA KWENYE KUBET✍️✍️✍️

    Kama ni kwa maneno makali kiasi hcho wala huna faida ya kuwashauri vijana,unamwita shetan mwajiri wa vijana?ur not serious aisee,kuna watu/wananchi wanasomesha na kiendesha maisha kwa kubashiri afu from no where jamaa unakuja kuwadiscourage kweli!njoo na solution ya vijana kupata ajiri ili...
  12. mbj

    SI KWELI Kila mgonjwa wa Kifua Kikuu huwa na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI

    Hakuna Tb nzur be care,haipo yenye afadhal so usilinganishe impossible.
  13. mbj

    DP World wapewe pia Bunge

    Naunga mkono hoja .
  14. mbj

    KWELI Baadhi ya Dawa za kutibu Malaria zinaweza kusababisha mzio mwilini, ikiwemo Kuchubuka Uume na Midomo

    Asishangae inatakiwa ajue tu kua ana allergy na mchanganyiko huo wa dawa na atumie aina ingine ya dawa ili kupatwa na tatzo hilo.Na asiishangae gov maana sio kazi ya gov kutangaza mzio wa kila mtu kwenye dawa fulani.
Back
Top Bottom