Wewe tunakujua vizuli katika watu waliokiunga mkono wabunge WA upinzani watolewe nnje ukiwepo acha upuuzi wako waambie wana ccm wezako waendelee
Sent using Jamii Forums mobile app
Serikali ndio yenye jukumu la kulinda laiya na Mali zao sasa kama wamishindwa watangaze watu wachukue jukumu la kujilinda weñyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Izo siasa za MAJI taka rais wako akufika ata asilimia 60 unasema upuuzi achana na LOWASSA uwo moto mwingine sasa mbi20 uyo wa kuwakamata watu BILA ushaidi asilimia 30 apati
Sent from my TECNO-C5 using JamiiForums mobile app
Lipumba waambie ukweli vibalaka wako ulivyotembea mikoani akuna anae kutaka sasa waambie RUANGWA LIWALE MKOA WA LINDI ULIFANYWA NINI KAMA UTAKI KUWAMBIA UKWELI WALUUSU VIBALAKA WAKO WAJE MIKOANI WAKIONE CHA MOTO WATU TUNAASILA CCM A NA NYINYI CCB TUNAOMBA MUJE RUANGWA MUJE KUKUTA KILICHO MKUTA...
Anatuita wajinga kwa sababu wanatugeuza wanavyo taka wao msifanye siasa tufanye sisi tu SAWA vichwa hiv avina mwenyewe SAWA uchumi unakua SAWA
Sent from my TECNO-C5 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.