Martin George
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,695
- 1,470
Hii inatokana na ukweli kwamba huku bara kambi ya Upinzani inasambaratika kwa spidi ya mwanga, na kufikia 2020 nadhani upinzani bara atabakia Hashimu Rungwe pekee. Tumaini litabaki kwa Cuf Zanzibar na hasa kule Pemba ambako hawajawahi kuyumba kimsimamo!