nadhani sababu kubwa haswa ya hawa baadhi ya celebrities kukosa usafiri ni kutokana na nchi yetu yenyewe kuwa third world country ivoo ataa baadhi ya celebrities wetu wako kimasikini masikini tuu....hivi vitu vya celebrities kutokuaa na usafiri binafsi huwezi visikia first world...
tatizo arusha hamna potential kama mwanza kwenye issue za kitaifa hasa kwenye kuhost vitu vikubwa kama hivi na apa vinazingatiwa vitu vingi makampuni yamekaa pamoja na waandaji nakuona baada ya jiji la daslaam yes jiji la mwanza somehow lina potential angalau ya ku host hii event na faida...
ungeandika headline yako hivi "baadhi ya mambo ambayo yametokea kwenye serikali ya magufuli na kuwafanya bavicha wapate pa kuongelea" nadhani ingekua poaa sanaaa
uku angekulaa shaba tu uyoo sisi atuleii upuuzi wanaume wa dar mmempokeaa kwa sababu mnafanana nae tabia siunajua tena undugu na urafiki always is about sharing of some common interest.....
hivi we jamaa kwenu na wewe unaitwa kaka wakitegemea kuna mtu mwenye akili ya kuikomboaa familiaa yake kwelii....achaa utoto wewe kua inaonesha mapenzi yametawala sana fikra zako
mkuu naona kama unajichanganya manaa wewe umezungumziaa sualaa la mambalozi wasingekuja huku na ingetumika njiaa yoyote ya kitechnology ili kupunguza gharama ya go and return tickets sasa apo sula la deni la taifa limetokea wapi tena
ingekuwa ni suala la kupigiana simu tu kusingekwepo na haja ya delegations za nchi zingine mf.rais flan toka nchi za mbaali kuja tanzania na badala yake wangekuwa wanawasliana tu mambo yanaisha....apa kinachotizamwaa ni uzito wa jambo na ndio mana hujaona icho unachokitaka wewe kikifanyika...
hapakuwaa na huo unaouita upuuzi kwasababu hukuwai kumkaba koo mwalimu wako au mlezi wako wa shule....jaribu kujenga fikra wewe ndie mwalimu umekabwaa kooni na mwanafunzi huku akitoa lugha ya matusi mbele ya darasa kama binadamu yeyote ilee ni fedheha kubwa sana mbaya zaid ukizingatia wale...
wanaangaliaaa accessibility ya abiria inawezekana dar -mwanza kuna uwezekano wa kupata abiria wengi zaidi kwa kila trip kuliko dar-mtwara kwa kila trip
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.