Mh rais sisi marafiki zako wahari yachini huku bukoba tumelazimika kukuomba msamaa make niwazi kabisa una kisasi na sisi ndani moyo wako.
Tunaamini kosa letu kubwa kwako nikitendo cha sisi kuto mpigia kura ndg khamisi suedi kagasheki ambae alikua mgombea umbunge kupita ccm jibo la bukoba mjini...
Kwa mtazamo wangu kwa hili waziri Simbachawene kakurupuka. Haiwezekani migogoro iliyopo machinga complex imalizwe na mkuu wa mkoa wakati Meya wa jiji yupo. Swali lakujiuliza muda wote alikua wapi?
Anasubiri Meya wa jiji kachaguliwa na kaibua jipu hilo ndo Simbachawene anaibuka na kusema eti...
Jumanne tuliambiwa eti mabasi ya mwendokasi Yataanza kufanya kazi kesho Yake Yaani Jumatano.
Cha kushangaza mpaka sasa hivi hamna kinachoendelea.
Hilo si jipu Jamani!
Wanawake huwa wanapata Wakati mgum hasa pale wanapo pata mwanaume ambae anajua mapenzi ila Hana ela, au ana ela ila Hajui Mapenzi. Ndo maana Wanakua vinala wa Michepuko, na ukifatilia wanawake wengi Wana wa toto ila Hawana Waume.
Wamechukua mpini wakatupa majembe, Tena mpini wenyewe ni wamti wa mabua. Unaweza kusema hivyo ni baada ya Gerardi hando pj na mpishi wao kujiunga Rasmi Efm, huku bingwa wa katanga tanga namzungumzia Gardner g habash kurudi clouds
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.