Recent content by MBAUKU

  1. M

    RC Paul Makonda: Halima Mdee anamlinda Ester Bulaya badala ya kuwahudumia Wananchi

    Bashite kiherehere cha nini kaka ç ueaachie wananchi ndio waamue sasa wewe inakuusu nini au unalitaka jimbo la KAWE
  2. M

    Umri Unasonga sina pesa. Nifanye nini?

    Miaka 26 umri unaenda mwenye miaka 50 ambae hajawashi kumilliki hata mil 1000000 asemeje
  3. M

    Lindi: Zitto Kabwe na Sulemani Bungara (Bwege) wakamatwa na Polisi

    Kuna kamanda mkuu mmoja wa mkoa wa arusha amesema (A) inawakilisha serikali (B) POLICCN (C) CHAMA CHA NAPINDUZI sasa hapo kuna nini tena
  4. M

    Mrisho Gambo ameonewa kwa makosa ya wengine

    Bora alivyotumbuliwa aondoke tu alikua anapenda sifa sana kama yesu
  5. M

    Ikulu: Rais Magufuli awataka watendaji kufanya kazi kwa kuzingatia viapo vyao. Awaasa kuridhika na nafasi walizo nazo, siyo kukimbilia Ubunge

    Tstizo kiti chs mkuu was mkoa unakikalia lakini huna imani nacho muda wowote unaweza kutumbuliwa kwa nini wasiende kwenye ubunge ili waishi kwa furaha muda wote
  6. M

    Tetesi: Mpasuko mkubwa sana ndani ya CCM

    Hatuna haja ya kumchukua sisi kwetu tunafurahi tu wenyewe kwa wenyewe mkurumbana kwetu sisi ndio mtaji
  7. M

    Hakuna namna, Wazazi wa watoto shule za binafsi lazima walipe ada yote

    Huwezi kfundisha mtoto masomo ya sasahivi na masomo yaliyopita nikudanganyana tu hapo
  8. M

    Hakuna namna, Wazazi wa watoto shule za binafsi lazima walipe ada yote

    Kama ni hivyo mbona waalimu waalimu wa shule binafsi walikua hawalipwi mishahara yao hali iliyopelekea moaka bunge likaingilia kati kuitaka serikali iwasaidie walimu hao ili wapate pesa ya kujikimu ?? Kwa mm binafsi ninhekua na mtoto anasoma hizo shule binafsi nisingelipa na tungepelekana popote...
  9. M

    GE2020 Wabunge wa darasa la 7 na form 4 mwisho 2020

    Hongera sana kwa hoja nzuri ni kweli lisipoangaliwa hili itakuwa kama ile mikataba ya wakati ule ea alina MANGUNGO wa msovero ni kweli kabisa maana wabunge ndio watunga sheria na wasimamizi wa shughuli za serikali inakuaje wawe na elu ya std seven
  10. M

    Mbunge Nchambi na wenzake 2 wakiri makosa ya uhujumu uchumi na kulipa faini

    Kwa inshu hii siwaoni wale wanaojiita mafisiem Ku comment chochote wapo kimyaaa kama wamelowa
  11. M

    Ndoto zangu za kuwa TISS zinafifia na umri unanitupa mkono

    Kijana kua makini Sana usipende kazi hizo katika vitengo vya usalama polisi mean and she magereza nk utaishi roho juu ni kazi gani hiyo ya kufanya hata mkeo asiijue
  12. M

    Lissu aombe radhi kwa kumkejeli Rais Magufuli

    Ndio maana unajiita kmbwembwe maana inainekana unaingea tu ila hujui ulisemalo eti LISSU aombe msamaha aombe msamaha kwa kushambuliwa na risasi halafu hadi Leo hajakamatwa mtu yoyote alieusika na shambulio huo ni ujinga hata kama ndio mnaamua kujipendekeza sio kwa staili hiyo
  13. M

    John Mnyika, Sio rahisi CHADEMA kuendelea kuwa chama kikuu cha upinzani na kinachochochea maendeleo bila kuzingatia haya

    Mtoa umejitahidi kueleza ila maelezo yako Kama naona yanaongozwa na hisia za kupenda chama kilichopo madarakani Binafsi sioni kama CHADEMA kinakashfu uongizi ila mara nyingi ukweli ndio unauma tatizo uongozi uliopo madarakani hautaki kuekezwa ukweli na hasa katika kipindi hiki cha kuelekea...
Back
Top Bottom