Simba siyo wamejitoa kwenye derby bali waoajuwa kuwa wao ni mabingwa wa kushiriki na siyo washindani, hivyo msijikweze sana. Ila natamani sana mkampige muarabu kwao maana siwapendi hawa hata wakicheza na jiwe basi nitashangillia jiwe. Ila simba mnanyodo sana mtaani hatukai hatakama kwakutokujuwa...
Jamani kunamambo ya kuiga unapo sema viwango vya fifa au simba, yanga na wengine ni wanamichezo hao. Pia kwa safari zao hutumia mabasi hayohayo na anaetumia basi siyo maskini labda siewi maskini ni mtu wa aina gani. Kama huwa unasafiri kwa ndege sawa lakini usimbeye wa basi na kusema masikini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.