kigoma kask.chadema imechukua vijiji vya msimba,kasuku,nyangova,bigere,kizenga,nyamhoza,kalinzi A&B,mkabogoA&B matyazo nyarubandaA&B mkigo naomba wanaojua ACT wamechukua vijiji vingapi nielezeni mimi naishi huku siyo hivyo vitongoji vya kijiji cha mwandiga,kiganza,na na kibingo na sisi tutaje...