Recent content by mbaritsamenya

  1. mbaritsamenya

    Nisaidieni kwa wote waliooa na kuolewa

    Mbavu mbili haziingii kwenye mdomo mmoja, chagua kimoja kuolewa au kupambania ndotozako,
  2. mbaritsamenya

    Naona mazoea yataniletea matatizo

    Kabla sija kushauri naomba kufahamu umri wako tafadhali.
  3. mbaritsamenya

    Leo Zingatia Haya Wakati wa Kuchaguana Ili Kupunguza Kero na Taabu.

    Na mimi nimwenyekiti kanda ya kusini Mtwara na Lindi
  4. mbaritsamenya

    Tanzania Tuko Busy na vita ya ukraine, yanga, simba, kuwahoji viongozi faida ya madini, bandari, wala hatutaki tunawasifu na kuwachekea,

    wa TANZANIA NI MAITI ZINAZO TEMBEA Hakuna atake weza kuhoji na hata yule anae jitokeza kuhoji hakuna anae muunga mkono, Nawaonea huruma sana kina Lissu wana pambania watu wasio elewa, itachukua muda sana Tanzania kuamka katika usingizi.
  5. mbaritsamenya

    Mahusiano ya sasa yamegeuka kausha damu

    Huna sababu ya kuhudumia mwanamke asie kuwa mke wako, Dada poa wapo kibao kama ni Genye kamalize huko, pia ukiona mwanamke ana kuomba hela sana jua hapo hakuna upendo kimbia hara eneo hilo kabla mambo haya jawa makubwa. Sent from my Infinix X6511E using JamiiForums mobile app
  6. mbaritsamenya

    Ni wife material lakini sivutiwi kimapenzi. Je, nimuoe au nisioe?

    akili za kiutu uzima hizi ushauri murwa sana huu kazi kwake Sent from my Infinix X6511E using JamiiForums mobile app
  7. mbaritsamenya

    Ni wife material lakini sivutiwi kimapenzi. Je, nimuoe au nisioe?

    Nipo na Rafaeli huku feri tuna sikiliza makaveli Sent from my Infinix X6511E using JamiiForums mobile app
  8. mbaritsamenya

    Ni wife material lakini sivutiwi kimapenzi. Je, nimuoe au nisioe?

    Umegongelea msumari wa zege mkuu Sent from my Infinix X6511E using JamiiForums mobile app
  9. mbaritsamenya

    Watatu wafikishwa Mahakamani kwa kuisababishia TRA Hasara ya Tsh. Bilioni 1

    Nikweli maana wao wana piga hakuna anae chukuliwa hatua, kwa mtindo huo mwana nchi wakawaida ukizikuta piga tuu
  10. mbaritsamenya

    Ushirikiano wa kina na China unaweza kuwa suluhisho la changamoto kuu za nchi za Afrika

    Nchi za afrika Tume laaniwa kilakitu tunacho ila Viongozi wetu hawana ule uzalendo wa kweli, wao ni maneno matam tu ila kiutendaji ni sifuri, Nasisi WANA NCHI tume lala usingizi wa pono tukiamka tunatia kaunafki kidogo tuna lala tena Ee Mungu tusaidie
  11. mbaritsamenya

    Serikali inakosea sana kuwatenganisha Kikazi Wanandoa

    mkuu kila mtu ana uwezo wake wa kuhimili mambo, pia hakuna kitu kigum kama kuishi ma mtu ambae hayupo moyoni
  12. mbaritsamenya

    Serikali inakosea sana kuwatenganisha Kikazi Wanandoa

    Ukimwi usikie kwa jirani tuu ndugu yangu ila ukiupata mpaka uje kukubaliana na hali si kazi ndogo kiongozi
  13. mbaritsamenya

    Mhariri wa Gazeti la Majira umewaza nini hadi kuja na Kichwa cha hovyo hiki cha Habari leo?

    Sisi wa Tanzani ni wanafk hii ni kila mahali kuanzia viongozi mpaka wa
Back
Top Bottom