Recent content by mbari sa menya

  1. M

    JamiiForums Tanzania Hivi kikatiba CDF mstaafu, IGP mstaafu na DGIS mstaafu Wanaweza kugombea uRais wa JMT au Zanzibar?

    Ngoja waje kukupa jibu mkuu, Nambuka Mzee Mahita alitaka ubunge Moro kupitia CCM, lakini kura za maoni hazikutosha,
  2. M

    JamiiForums Tanzania Nyerere: Ikulu ni Mahali Patakatifu

    Kwa hiyo Mwl Nyerere alihama ikulu mahali patakatifu, Akaishi Msasani na jirani zake wamakonde, Hii inafkirisha sana, Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
  3. M

    JamiiForums Tanzania Wanawake UWT tunajivunia Rais wetu Samia

    Nimeshangaa, wanajisahau kuwa wanatumia I'd za kiume Anaweza kuwa ndie mwenyekiti wa UWT Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
  4. M

    JamiiForums Tanzania Fatma Karume: RC Chalamila acha ubabe mdogo wangu Serikali si yako ni yetu sote!

    Si wa kwenye Iringa, jazba na hasira kwa wanyalu ni kawaida sana, Unakumbuka kilichompata Dr Kleruu Rip Mzee Mwamwindi, Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
  5. M

    JamiiForums Tanzania Dodoma: Yanayojiri kwenye Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyoandaliwa na BAWACHA

    @Mshana Jr ni wa Mtaa wa Ufipa, usimwamini sana, atakuchuuza ufe siku si zako, Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
  6. M

    JamiiForums Tanzania Dodoma: Yanayojiri kwenye Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyoandaliwa na BAWACHA

    Unatafuta kulogwa, unawalinganisha kina Zito Kabwela na BAWACHA, Mtake radhi upesi, kabla hajaenda Kigoma kwenye ile nyumba yake iliyoungua moto, Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
  7. M

    JamiiForums Tanzania Ni ukweli Sugu na Lema mwaka 2020 kura hazikutosha lakini ni hakika Sugu na Lema wanakubalika na watu kuliko wanavyokataliwa na kura!

    Hapo kweye DED mtangaza matokeo ungemalizia tu kwama ni kada wa CCM, Pia ameteuliwa na Rais ambaye ni Chairman wa CCM Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
  8. M

    JamiiForums Tanzania Kesho najiondoa rasmi CHADEMA. Nimechoshwa na siasa njaa na kuendekeza matumbo

    Hahaaa, kipigo cha mwarabu jana kimemchanganya kasahau Yuko chama gani, Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
  9. M

    JamiiForums Tanzania Kesho najiondoa rasmi CHADEMA. Nimechoshwa na siasa njaa na kuendekeza matumbo

    Huyu uvccm, fuatilia mada zake humu utajua, Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
  10. M

    JamiiForums Tanzania Kesho najiondoa rasmi CHADEMA. Nimechoshwa na siasa njaa na kuendekeza matumbo

    Kumbe na wewe unamjua huyu kenge wa kijani, Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
  11. M

    JamiiForums Tanzania Sisi Wakazi wa Idrisa Magomeni tunajua rafiki wa Jakaya alikuwa ni Ditopile, Wengine walikuwa ni Marafiki wa Kisiasa!

    Walikichafua sana enzi zao hizo, Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
  12. M

    JamiiForums Tanzania Gerald Hando: Watanzania wanataka sukari, usituambie tusitumie. Asema majibu ya Janabi na Chalamila ni dharau kwa watanzania

    Mkuu unataka sabuni ziadimike? Kwenye mwendokasi si kutageuka zizi la beberu, na joto hili la Dar, Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
  13. M

    JamiiForums Tanzania Sisi Wakazi wa Idrisa Magomeni tunajua rafiki wa Jakaya alikuwa ni Ditopile, Wengine walikuwa ni Marafiki wa Kisiasa!

    Na hata tabia zao zilifanana, Aliitwa Ukiwaona Ramadhani Mwinyishehe Ditopile Mzuzuri, Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
  14. M

    JamiiForums Tanzania Lema: Waliotuambia Lowassa ni Fisadi jana walikaa Viti vya mbele msibani Wakijifanya kulia na kumtolea Matamko mazuri!

    Hivi kuna aliyemuona Mwakyembe Harrison msibani Dar au Monduli, Nakuuliza pia johnthebaptist maana Mwakyembe ni kada mwenzio, Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
  15. M

    JamiiForums Tanzania Tume ya Taifa ya Uchaguzi imetangaza Uchaguzi mdogo wa madiwani kwenye kata 23 za Tanzania Bara

    Wanakomba mboga, yaani wanapiga kabla hiyo tume yao huru ya mchongo haijaanza kazi
Back
Top Bottom