Pole mkuu, tafuteni no ya RC Chalamila, kama aliweza kuwafungia TIPS Mikocheni, hao ni vifaranga tu,
TIPS ya watoto wa kishua walikuwa wanakula mayi hadi asubuhi, ukipita sasa hivi kimyaaa sana
Poleni sana,
Kama taarifa hizi ni za kweli, basi huko tunakoelekea ni Kobaya sana,
Hivi inakuajje askari unapewa amri ya kumfanyia ukatili mwenzako kiasi hicho, au hata raia tu,
Hao wanakutuma ipo siku nawe pia yatakukuta kama hayo,
Mkuu mambo yamebadilika sana, Kuna watu wamejimilikisha uhai wa wenzao,
Wakiamua Nyani Ngabu apotee unapotea na hamna anaejali, kifupi bado kitambo kidogo tu kunakucha,
Kwa hiyo Mwl Nyerere alihama ikulu mahali patakatifu,
Akaishi Msasani na jirani zake wamakonde,
Hii inafkirisha sana,
Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
Si wa kwenye Iringa, jazba na hasira kwa wanyalu ni kawaida sana,
Unakumbuka kilichompata Dr Kleruu
Rip Mzee Mwamwindi,
Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
Unatafuta kulogwa, unawalinganisha kina Zito Kabwela na BAWACHA,
Mtake radhi upesi, kabla hajaenda Kigoma kwenye ile nyumba yake iliyoungua moto,
Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.