johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,145
Nyerere kwa kuamini Ikulu ni Mahali Patakatifu alilazimika Kuishi Msasani
Je, ni kweli Ikulu ni Mahali Patakatifu kama ilivyo Kanisani au Msikitini?
Ramadan Kareem 😄
Kwa hiyo Mwl Nyerere alihama ikulu mahali patakatifu,Nyerere kwa kuamini Ikulu ni Mahali Patakatifu alilazimika Kuishi Msasani
Je, ni kweli Ikulu ni Mahali Patakatifu kama ilivyo Kanisani au Msikitini?
Ramadan Kareem
Tumia akili kuuliza Acha kuuliza jibu Ikulu msikiti na kanisa ni sehemu Takatifu sio mapango ya kupiga dili kupanga kumpiga risasi Tundu lissu Kuwateka Mo na Roma kuvamia CLOUDS na Kuiba Fedha za UmmaNyerere kwa kuamini Ikulu ni Mahali Patakatifu alilazimika Kuishi Msasani
Je, ni kweli Ikulu ni Mahali Patakatifu kama ilivyo Kanisani au Msikitini?
Ramadan Kareem
Nyerere kwa kuamini Ikulu ni Mahali Patakatifu alilazimika Kuishi Msasani
Je, ni kweli Ikulu ni Mahali Patakatifu kama ilivyo Kanisani au Msikitini?
Ramadan Kareem I
Labda ikulu nyingine za huko Duniani but hii ya kwetu ni pango la "WANYANG'ANYI"Nyerere kwa kuamini Ikulu ni Mahali Patakatifu alilazimika Kuishi Msasani
Je, ni kweli Ikulu ni Mahali Patakatifu kama ilivyo Kanisani au Msikitini?
Ramadan Kareem 😄
Mo ameshajieleza bwasheeTumia akili kuuliza Acha kuuliza jibu Ikulu msikiti na kanisa ni sehemu Takatifu sio mapango ya kupiga dili kupanga kumpiga risasi Tundu lissu Kuwateka Mo na Roma kuvamia CLOUDS na Kuiba Fedha za Umma