Recent content by Mbao za Mawe

  1. Mbao za Mawe

    Kutana na kobe Jonathan mnyama mwenye umri mkubwa kuliko wote duniani alitotolewa mwaka 1832

    Shelisheli wakamchukue kobe wao ama wataambiwa hawana uwezo wa kumtunza kama sisi na mabaki ya mjusi wetu.
  2. Mbao za Mawe

    Nini dhumuni la video na picha za utupu?

    Nishapimwa na imegundulika sina ila nimekaa na hizo picha za wapenzi wangu huu ni mwaka wa 10+ na hakuna hata mmoja aliyewahi kuathirika kivyovyote licha ya wewe kutaka nipimwe akili.
  3. Mbao za Mawe

    Maraisi wa Afrika toka 2008 mpaka 2024 walioenda Marekani walijipeleka Window Shopping?

    Wakati SSH anaenda kama sikosei alienda kwenye mkutano wa wakuu wa Afrika na Marekani.
  4. Mbao za Mawe

    Nini dhumuni la video na picha za utupu?

    Kuna kitu kinaitwa "Maridhiano" mkiridhiana kufanya upuuzi mwanzoni mwa mahusiano basi kila jambo lenu mtaliona ni sawa. Sioni tatizo mtu kuwa na picha za utupu za mpenzi wake ila tatizo ni pale ambapo atashindwa kutambua faragha ya mpenzi wake na kuzianika nje nje.
  5. Mbao za Mawe

    Maraisi wa Afrika toka 2008 mpaka 2024 walioenda Marekani walijipeleka Window Shopping?

    Siyo kila ziara ni ya kualikwa na Rais, rejea SSH hivi karibuni alikuwa huko ila hakuonana na JB na alikuwa nchini kwake.
  6. Mbao za Mawe

    Maraisi wa Afrika toka 2008 mpaka 2024 walioenda Marekani walijipeleka Window Shopping?

    Kwa jinsi nilivyoelewa Marais wengi wamekuwa na ziara ndani ya US ila waliopewa mwaliko wa kuzuru Ikulu ya White House siyo wote wanaotembelea Marekani.
  7. Mbao za Mawe

    Penina wa Goba Centre auawa na aliyekuwa mpenzi wake kwa kukatwa mapanga

    Inabidi tufikie wakati tukubali zile zama kukunjana na wanawake kwa kutumia nguvu zimepita. Ukiamua kupambana na mwanamke kinguvu basi utamuumiza na wewe kujiumiza.
  8. Mbao za Mawe

    Ommy Dimpoz amkana baba yake

    Niliwahi kukutana na huyu Mzee Sumbawanga ni dereva Bajaj. Wakati napata huduma ya usafiri wake alikuwa analalamika sana juu ya Ommy na kubwa zaidi akisema suala lake na mwanae limesababishwa na Mama yake Ommy. Inaonekana wakati huyu mzee akiwa kijana hakuwa karibu na familia yake kihivyo...
  9. Mbao za Mawe

    Hivi wanachofanya Panya Road hakiwahusu Taasisi za Haki za Binadamu? Wapo kimya kama kila kitu kiko poa

    Suala la Panya Road ni mavi yanayopakwa kwenye sare ya jeshi la polisi ama vyombo vya usalama na wao wamekubali harufu ya kinyesi hicho iliendelee kunuka miilini mwao. Hivi kwa ufahamu wa kawaida unaanza vipi kuamini kuwa Jeshi la polisi limeshindwa kuthibiti matukio ya hawa wanaoitwa Panya...
  10. Mbao za Mawe

    Klabu ya Simba yampa rasmi mkono wa kwaheri mlinzi Pascal Wawa

    Akumu anawindwa na Azam nadhani watakuwa kwenye hatua nzuri ya kunasa saini yake.
  11. Mbao za Mawe

    Je, Panya Road wamewashinda? Wamerudi kwa kasi ya kutisha sana

    Bora iwe fire fire kuliko kuwa na vyombo vya ulinzi na usalama vinavyoshindwa na makundi ya watoto yenye visu na chupa.
  12. Mbao za Mawe

    Je, Panya Road wamewashinda? Wamerudi kwa kasi ya kutisha sana

    Miaka 60 ya uhuru bado suala la usalama wa raia ni kitendawili kweli? Si bora wagawe bunduki kwa kila kaya ili ijilinde.
Back
Top Bottom