Recent content by Mbao za Mawe

  1. Mbao za Mawe

    Ommy Dimpoz amkana baba yake

    Niliwahi kukutana na huyu Mzee Sumbawanga ni dereva Bajaj. Wakati napata huduma ya usafiri wake alikuwa analalamika sana juu ya Ommy na kubwa zaidi akisema suala lake na mwanae limesababishwa na Mama yake Ommy. Inaonekana wakati huyu mzee akiwa kijana hakuwa karibu na familia yake kihivyo...
  2. Mbao za Mawe

    Hivi wanachofanya Panya Road hakiwahusu Taasisi za Haki za Binadamu? Wapo kimya kama kila kitu kiko poa

    Suala la Panya Road ni mavi yanayopakwa kwenye sare ya jeshi la polisi ama vyombo vya usalama na wao wamekubali harufu ya kinyesi hicho iliendelee kunuka miilini mwao. Hivi kwa ufahamu wa kawaida unaanza vipi kuamini kuwa Jeshi la polisi limeshindwa kuthibiti matukio ya hawa wanaoitwa Panya...
  3. Mbao za Mawe

    Klabu ya Simba yampa rasmi mkono wa kwaheri mlinzi Pascal Wawa

    Akumu anawindwa na Azam nadhani watakuwa kwenye hatua nzuri ya kunasa saini yake.
  4. Mbao za Mawe

    Je, Panya Road wamewashinda? Wamerudi kwa kasi ya kutisha sana

    Bora iwe fire fire kuliko kuwa na vyombo vya ulinzi na usalama vinavyoshindwa na makundi ya watoto yenye visu na chupa.
  5. Mbao za Mawe

    Je, Panya Road wamewashinda? Wamerudi kwa kasi ya kutisha sana

    Miaka 60 ya uhuru bado suala la usalama wa raia ni kitendawili kweli? Si bora wagawe bunduki kwa kila kaya ili ijilinde.
  6. Mbao za Mawe

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Nitakuja kumgonga mama yako useme pia chai
  7. Mbao za Mawe

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Operesheni Ivanka.... Hodi kwenye huu uzi wa kimasihara, leo na mimi naomba kutoa mchango wangu kwenye uzi huu kwani nimekuwa msomaji sana wa uzi huu miaka mingi sasa na sitatenda haki kama sitoweka hapa kisa hata kimoja cha tunda kimasihara. Awali kabla sijaanza kuandika niseme sijawahi...
  8. Mbao za Mawe

    Selfika na JF: Snap it. Show it

    Nimekumiss sana
  9. Mbao za Mawe

    Kushusha tozo za sukari kuna matokeo gani kwenye mfumuko wa bei

    Mahitaji muhimu ya wananchi yapo mikononi mwa watu wachache ndiyo maana wanaamua kupandisha bei kwa kuwa wanajua tutanunua hata bei ikiwa mara 10 zaidi ya sasa.
  10. Mbao za Mawe

    Paul Makonda: Kuna makundi matano yanataka kuniua, likiwemo wanaotafuta kulipa kisasi kwa Wasaidizi wa Magufuli

    Sasa shoga anawezaje kuua mtu atampiga na ndala au upande wa kanga? Kikubwa PM aliishi maisha mabaya wakati akiwa kiongozi alisahau kesho huwenda ikawa si leo ndiyo maana vita imekuwa kubwa kwake kila aliyekwaruzana naye anamtaka, bora hata angetishiwa na wauza madawa tu ila si mashoga.
  11. Mbao za Mawe

    Mbunge: Matuta yanaharibu viuno vya wanaume wa Rukwa, yapunguzwe

    Kweli yawezekana ni kiti maalum maana huwa wanachukuliwa kwa huruma.
Back
Top Bottom