Niliwahi kukutana na huyu Mzee Sumbawanga ni dereva Bajaj.
Wakati napata huduma ya usafiri wake alikuwa analalamika sana juu ya Ommy na kubwa zaidi akisema suala lake na mwanae limesababishwa na Mama yake Ommy.
Inaonekana wakati huyu mzee akiwa kijana hakuwa karibu na familia yake kihivyo...
Suala la Panya Road ni mavi yanayopakwa kwenye sare ya jeshi la polisi ama vyombo vya usalama na wao wamekubali harufu ya kinyesi hicho iliendelee kunuka miilini mwao.
Hivi kwa ufahamu wa kawaida unaanza vipi kuamini kuwa Jeshi la polisi limeshindwa kuthibiti matukio ya hawa wanaoitwa Panya...
Operesheni Ivanka....
Hodi kwenye huu uzi wa kimasihara, leo na mimi naomba kutoa mchango wangu kwenye uzi huu kwani nimekuwa msomaji sana wa uzi huu miaka mingi sasa na sitatenda haki kama sitoweka hapa kisa hata kimoja cha tunda kimasihara.
Awali kabla sijaanza kuandika niseme sijawahi...
Mahitaji muhimu ya wananchi yapo mikononi mwa watu wachache ndiyo maana wanaamua kupandisha bei kwa kuwa wanajua tutanunua hata bei ikiwa mara 10 zaidi ya sasa.
Sasa shoga anawezaje kuua mtu atampiga na ndala au upande wa kanga?
Kikubwa PM aliishi maisha mabaya wakati akiwa kiongozi alisahau kesho huwenda ikawa si leo ndiyo maana vita imekuwa kubwa kwake kila aliyekwaruzana naye anamtaka, bora hata angetishiwa na wauza madawa tu ila si mashoga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.